"Bottom Up" Yamtokea puani William Rutto

"Bottom Up" Yamtokea puani William Rutto

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakati wa vuguvugu la uchaguzi wa Kenya, hadi wakati wa kampeni za uchaguzi huo, Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na umasikini, ulioitwa Bottom Up, akimaanisha kuwakwamua kiuchumi Wakenya makapuku (kwa Tanzania wanaitwa wanyonge) na kuwapandisha kwenye hali nzuri.

Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga, ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono udikteta wa serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli.

Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata urais, akasahau haraka sana mkakati wake kwenye Bottom Up mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao, akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta, akidai anabana matumizi, utadhani hela za Kenya ni mali ya baba yake, bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya.

Sasa Wakenya wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa.

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
 
Wakati wa vuguvugu la Uchaguzi wa Kenya , hadi wakati wa Kampeni za uchaguzi huo , Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na Umasikini , ulioitwa BOTTOM UP , akimaanisha kuwakwamua kiuchumi wakenya makapuku ( kwa Tanzania wanaitwa wanyonge ) na kuwapandisha kwenye hali nzuri .

Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya Ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono Udikteta wa Serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli .

Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata Urais , akasahau haraka sana mkakati wake kwenye BOTTOM UP mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao , akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta , akidai anabana matumizi , utadhani hela za Kenya ni Mali ya Baba yake , bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha Ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya .

Sasa Wakenya Wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa .

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya .
Hapa TZ tunangoja nini nyie waramba asali?
 
Wakati wa vuguvugu la Uchaguzi wa Kenya , hadi wakati wa Kampeni za uchaguzi huo , Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na Umasikini , ulioitwa BOTTOM UP , akimaanisha kuwakwamua kiuchumi wakenya makapuku ( kwa Tanzania wanaitwa wanyonge ) na kuwapandisha kwenye hali nzuri .

Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya Ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono Udikteta wa Serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli .

Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata Urais , akasahau haraka sana mkakati wake kwenye BOTTOM UP mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao , akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta , akidai anabana matumizi , utadhani hela za Kenya ni Mali ya Baba yake , bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha Ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya .

Sasa Wakenya Wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa .

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya .
Mjinga tu wala hujui umeandika kitu gani. Eti odinga kashindwa kwa kumuunga mkono dikteta magufuli. Kwanza huelewi udikteta ni nini. Ungesema ruto ni laghai tu ingetosha.
 
Mjinga tu wala hujui umeandika kitu gani. Eti odinga kashindwa kwa kumuunga mkono dikteta magufuli. Kwanza huelewi udikteta ni nini. Ungesema ruto ni laghai tu ingetosha.
Wakenya wakamshangaa sana Odinga kushabikia Utekaji, mauaji na Uporaji wa hela za Wafanyabiashara , kibaya zaidi alionekana kama anafurahia kuchomwa moto kwa vifaranga vya Wakenya, vilivyoteketezwa na serikali ya kikatili ya Tanzania ya awamu ya 5
 
Wakenya wakamshangaa sana Odinga kushabikia Utekaji , mauaji na Uporaji wa hela za Wafanyabiashara , kibaya zaidi alionekana kama anafurahia kuchomwa moto kwa vifaranga vya Wakenya , vilivyoteketezwa na serikali ya kikatili ya Tanzania ya awamu ya 5
Uhuru mtoto wa mjini Ile handshake iliazia ikulu ya Tz Kwa rafiki yake akati uhuru aking'ata na wa msoga ndio siasa zilivo, hata haya anayofanya uhuru ni kuficha yaliyomo
 
Wakati wa vuguvugu la Uchaguzi wa Kenya , hadi wakati wa Kampeni za uchaguzi huo , Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na Umasikini , ulioitwa BOTTOM UP , akimaanisha kuwakwamua kiuchumi wakenya makapuku ( kwa Tanzania wanaitwa wanyonge ) na kuwapandisha kwenye hali nzuri .

Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya Ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono Udikteta wa Serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli .

Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata Urais , akasahau haraka sana mkakati wake kwenye BOTTOM UP mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao , akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta , akidai anabana matumizi , utadhani hela za Kenya ni Mali ya Baba yake , bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha Ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya .

Sasa Wakenya Wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa .

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya .
Hali inaendeleaje huko
 
Wakati wa vuguvugu la Uchaguzi wa Kenya , hadi wakati wa Kampeni za uchaguzi huo , Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na Umasikini , ulioitwa BOTTOM UP , akimaanisha kuwakwamua kiuchumi wakenya makapuku ( kwa Tanzania wanaitwa wanyonge ) na kuwapandisha kwenye hali nzuri .

Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya Ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono Udikteta wa Serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli .

Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata Urais , akasahau haraka sana mkakati wake kwenye BOTTOM UP mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao , akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta , akidai anabana matumizi , utadhani hela za Kenya ni Mali ya Baba yake , bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha Ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya .

Sasa Wakenya Wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa .

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya .
Upinzani Africa ni umbumbu katiba haisaidii
 
Wakati wa vuguvugu la Uchaguzi wa Kenya , hadi wakati wa Kampeni za uchaguzi huo , Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na Umasikini , ulioitwa BOTTOM UP , akimaanisha kuwakwamua kiuchumi wakenya makapuku ( kwa Tanzania wanaitwa wanyonge ) na kuwapandisha kwenye hali nzuri .

Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya Ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono Udikteta wa Serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli .

Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata Urais , akasahau haraka sana mkakati wake kwenye BOTTOM UP mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao , akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta , akidai anabana matumizi , utadhani hela za Kenya ni Mali ya Baba yake , bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha Ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya .

Sasa Wakenya Wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa .

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya .

Yaani serikali ya Rutto ina miezi saba madarakani watu washaanza zogo.
 
Mjinga tu wala hujui umeandika kitu gani. Eti odinga kashindwa kwa kumuunga mkono dikteta magufuli. Kwanza huelewi udikteta ni nini. Ungesema ruto ni laghai tu ingetosha.
Mtoa mada yuko sahihi,Odinga anateswa na laana ya kuunga mkono ukati wa hayati john magufuli
 
Wakati wa vuguvugu la Uchaguzi wa Kenya , hadi wakati wa Kampeni za uchaguzi huo , Dr William Rutto alitangaza mkakati wake kabambe wa kuwakwamua Wakenya kuagana na Umasikini , ulioitwa BOTTOM UP , akimaanisha kuwakwamua kiuchumi wakenya makapuku ( kwa Tanzania wanaitwa wanyonge ) na kuwapandisha kwenye hali nzuri .

Baadhi ya Wakenya wakamuamini na kuachana na Raila Odinga ambaye alikuwa na nafasi kubwa ya Ushindi kabla ya kutafunwa na laana kutokana na kuunga mkono Udikteta wa Serikali ya kikatili ya Tanzania iliyoongozwa na John Magufuli .

Cha kushangaza sasa baada ya Rutto kupata Urais , akasahau haraka sana mkakati wake kwenye BOTTOM UP mithili ya mtu aliyelogwa ili asahau kwao , akaanza kuondoa ruzuku zilizowekwa na watangulizi wake ili kudhibiti bei ya mafuta , akidai anabana matumizi , utadhani hela za Kenya ni Mali ya Baba yake , bei ya mafuta ikainuka na hatimaye ikainua na bei za vitu vingine na kusababisha Ugumu wa maisha ambao haukuwahi kuwepo tangu Yesu alipoondoka Galilaya .

Sasa Wakenya Wamekiwasha mitaani wanataka kumng'oa .

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya .
Ulipomgusa JPM hapo ndipo ulipoharibu....huyo JPM bado anaishi mioyoni mwa mamilioni ya Watanzania na hasa wale wa kawaida: wakulima, machinga, bodaboda, mama ntilie, wanafunzi, wafanyakazi wa ngazi za chini, maskini, wazee, wastaafu na wazalendo...mafisadi ndio ambao huja na kauli uongozi wa kikatili..
 
Back
Top Bottom