Bow Wow kwa kafunuka ana mtoto ila grammar dah!!

Bow Wow kwa kafunuka ana mtoto ila grammar dah!!

Kweli

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2007
Posts
1,152
Reaction score
304
Dogo Shad Moss aka Bow wow ameanika kwenye website yake habari njema kwamba ana binti wa miaka 3, huyu dogo born and bred Unyamwezini na alikuwa na private tutor anayemsomesha tangia ana umri wa miaka 7, nimeshangaa kuona muandiko wake ndio huu, naona Kanumba wetu kumbe ana afadhali sana.

Let me start off by saying i love my fans. With out yall i wudda been left the game. For the past 3 years i been batteling life. Even thought about taking my own. I felt like as a kid i did everything and saw everything too fast which spoiled my adult years. I felt as if i had no purpose to live(Thinking selfishly) until god gave me the illest gift of my life. No lambo, no blk card nuffn ammounts to my lil girl. I waited so long to tell yall the truth because i was nervous on how yall would look at me. Yall know everyone makes a big deal out of everything i do. I wanted to be 1st n let yall know the real. My lil girl is getting BIG fast. i love every minute of it. She inspires me to go harder.Even made me treat my mother better, its like it made me into a man over night. Never been a fan of posting pix of my daughter. Reason is because i want my boo boo to have everything i didnt. Want her to be able to cheerlead with her lil friends with out some asshole sticking his camera all in my lil girl face. I know how fame is. I missed out on so much that i now know how important it is to cherish and have those things in your life. Yes! I change diapers. Aint as bad as i thought hahaha. I want her to live with me so bad. Jus us 2. Thats my dream man but fellas yall know how it go. Baby gotta stay with they momma and all dat bull. I hate that! So i have to fly 5 hrs away to see her. I find myself going into my i phone book jus lookn at pix of her. Sometimes i tear up cuz i just cant believe it brotha be emotional. All in all im good. This is my 1st. I know all my fans gone support me and ride for her like yall been doin my whole career. To the ones that say "Im heart broken how can he do that to us" well i do have a life thats not all about movies or making albums. Im 24 now. I cant wait 4eva. Im happy and if your a fan then ud be happy too cuz yall gone be with me every step of the way. The bs that comes with having a baby momma is expected. So i neva trip. Jus gotta suck it up keep chin high and try not let her get the best of my feelings by playin them stupid games. Ima stay positive and keep maintaining long as i got yall i cant lose. I love yall. And shai shai daddy love u too! Wizzle!!!!
 
Mimi sijaona tatizo liko wapi hapa?
 
Mimi sijaona tatizo liko wapi hapa?
Tatizo hapo ni grammar mbovu, inaeleweka kwamba walengwa wake wakuu watafahamu, (hata mimi ingawa sio mlengwa nimefahamu) najua wengi tuna-text in free style lakini inapokuja suala la kuandika ili ufahamike inakuwa tofauti.
Hivi wewe hujaona mapungufu ya kifasihi hapo? Simaanishi mtindo (style) namaanisha fasihi (grammar)
There is a big difference between writing drivel or incomprehensible piece and writing slang, you can get away when you are talking like this but when it comes to writing, it simply become incoherent.
 
Mbona mi sioni tatizo?!Huna haja ya kufikiria kujua nini anaongea...japo ameamua kutozingatia grammar na kuandika kama anavyoongea/rap bado anaeleweka bila ugumu wowote.Na hicho ndio muhimu...KUELEWEKA!
 
Hamna tatizo hapo, American English ndo ilivyo mara nyingi huwa haifati grammar.
 
Nia ya lugha ni kuwasiliana na kufikisha ujumbe kama ukumbe umefika mi sioni tatizo liko wapi
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Tatizo hapo ni grammar mbovu, inaeleweka kwamba walengwa wake wakuu watafahamu, (hata mimi ingawa sio mlengwa nimefahamu) najua wengi tuna-text in free style lakini inapokuja suala la kuandika ili ufahamike inakuwa tofauti.
Hivi wewe hujaona mapungufu ya kifasihi hapo? Simaanishi mtindo (style) namaanisha fasihi (grammar)
There is a big difference between writing drivel or incomprehensible piece and writing slang, you can get away when you are talking like this but when it comes to writing, it simply become incoherent.

Umeanza kusahihisha hata lugha za watu. Hizo ni lugha zao wanazotumia kuwasiliana na mashabiki wao. Thats how they get connected to their fans. Nenda pale halafu ujifanye unawasiliana nao kwa lugha yako fasaha uone kama utapata mashabiki. Wewe unaona mapungufu ya kihasihi kwa sababu sio mlengwa wa ujumbe wenyewe. Halafu nani alikuambia Amercani English inafuata kanuni za fasihi?
 
Dats black american english mkuu, they dont give a damn about grammar.
 
Black americans esp the rappers use slang words! So it doesnt go with the grammar! Hajakosea chochote.. By the way "big up to bow wow"! Sasa amekua kiakili!
 
Back
Top Bottom