Unataka ukajifunzie ufundi mkuu?Nahitaji nina 300k
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka ukajifunzie ufundi mkuu?
Umeipata wapi hii mkuu?habarin waheshimiwa
nauza boxer bm 150 km inavyoonekana kwenye picha sababu aina matatzo sana labda indicator na saintmirror pia na ila ni kuwasha na kuondoka ina kadi yake original kabisa...
[emoji16][emoji16][emoji16]Acha usnitch jamaa angu..muache mwana afanye biznesUmeipata wapi hii mkuu?
Hii pikipiki mbona nilioona pale kituo cha Polisi Temeke tangu 2016 ikiwa imekamatwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Acha usnitch jamaa angu..muache mwana afanye biznes
Usikute kala mchongo na coplo hapo kituoni akaona aitafutie mseti tu..njaa Kali kwa mapongo![emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi najua, maana nimepita pale baiki hazipo kabisa, machale yakanicheza labda Koplo keshaanza biashara kitamboUsikute kala mchongo na coplo hapo kituoni akaona aitafutie mseti tu..njaa Kali kwa mapongo![emoji38][emoji38]
Bike imekaa inaoza tu wanaitazama ..aaah wewe ulisikia wapi!?
Kaipata pale kituo cha polisi Temeke
ISHAUZWA MAZEE KWA LAK 8Habarin waheshimiwa,
Nauza boxer bm 150 km inavyoonekana kwenye picha sababu aina matatzo sana labda indicator na saintmirror pia na ila ni kuwasha na kuondoka ina kadi yake original kabisa. Vilevile kwa matazo ya saint mirror na indicator tunakatiana hela umo umo na vimatatzo vingine
napatikana tmk dsm mitaa ya temeke hospital call no 0742090831
pia haitoi moshi wala nini
Dau ni lak tano maongezi kidogo sana.
kwa maswali niulize kupitia namba ya simu tu pm sipo mda mwingi.
View attachment 1534265View attachment 1534266View attachment 1534267View attachment 1534268View attachment 1534270View attachment 1534271View attachment 1534272View attachment 1534273
HongeraISHAUZWA MAZEE KWA LAK 8