The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,488
- 2,908
Hii pikipiki nilininunua TAR 5 mwezi wa 9 nita attach risiti ya Manunuzi.
Pikipiki sina namna naweza ielezea, "ni mpya"
Naiuza sio kwa shida hivyo mteja apatikane asipatikane yote kheri.
Sababu ya Kuiuza ni kutokana na ngekewa ambayo imenitokea bila kutarajia, sikua nimetarajia kabisa kupata hela ya kununua usafiri nilioutaka mapema hivi.
Hatimae nimepata nikaona kuliko ning'ang'anie kubaki nayo niwe naipaki muda wote ni heri ni IUZE tu.
Hii Piki Piki imetembea KM 1670 nimemwaga OIL mara 1 tu tangu ni itoe dukani.
Chombo kimenigharimu vitu vingi kama kinavyoonekana.
Nimebadilisha vitu vingi vilivyokuja na pikipiki, TAA za mbele nimebadilisha nimefunga SPORTLIGHT kweli.
Nikikutandika FULL usiku lazima upunguze Mwendo.
Nisiisifie sana bwana pikipiki inajiuza yenyewe hiyo.
Bei yaanunuzk ipo kwenye RISITI,
Lakini kutokana imeshazoeleka BONGO kitu kikishakua mkononi ni USED basi acha nipunguze Bei naiuza hiyo pikipiki Milioni Mbili na Laki 5.
Yani 2.5M ndio bei ya hiyo Pikipiki, haina udalali ninaeandika hii post ndio muuzaji.
Kwa alie serious Karibu PM,bei haipungui na tafadhali kama hauna 2.5m usije PM, staki kumjibu mtu vibaya nasisitiza kama huna 2.5m usije PM.
Pikipiki sina namna naweza ielezea, "ni mpya"
Naiuza sio kwa shida hivyo mteja apatikane asipatikane yote kheri.
Sababu ya Kuiuza ni kutokana na ngekewa ambayo imenitokea bila kutarajia, sikua nimetarajia kabisa kupata hela ya kununua usafiri nilioutaka mapema hivi.
Hatimae nimepata nikaona kuliko ning'ang'anie kubaki nayo niwe naipaki muda wote ni heri ni IUZE tu.
Hii Piki Piki imetembea KM 1670 nimemwaga OIL mara 1 tu tangu ni itoe dukani.
Chombo kimenigharimu vitu vingi kama kinavyoonekana.
Nimebadilisha vitu vingi vilivyokuja na pikipiki, TAA za mbele nimebadilisha nimefunga SPORTLIGHT kweli.
Nikikutandika FULL usiku lazima upunguze Mwendo.
Nisiisifie sana bwana pikipiki inajiuza yenyewe hiyo.
Bei yaanunuzk ipo kwenye RISITI,
Lakini kutokana imeshazoeleka BONGO kitu kikishakua mkononi ni USED basi acha nipunguze Bei naiuza hiyo pikipiki Milioni Mbili na Laki 5.
Yani 2.5M ndio bei ya hiyo Pikipiki, haina udalali ninaeandika hii post ndio muuzaji.
Kwa alie serious Karibu PM,bei haipungui na tafadhali kama hauna 2.5m usije PM, staki kumjibu mtu vibaya nasisitiza kama huna 2.5m usije PM.