Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda angekatwa akawekwa kny sahani,jamani hio picha inaput off kabisaa....utatamanije kitu kama hicho??mie nimeona nikahisi kama binadamu vileee??its time niwe vegeterian lol
dude lote hilo mmekula wangapi,ndio maana mitumbo inawaninginia kama mninginio,halafu wakata nyasi wakiwasaidia wake zenu mnajipiga risasi
hahaah MKUU wa MEZA AKA LIGURUVI aka KITIFAYA aka KITIMOTO aka hahahha mdomo ushajaa mate. KUle kwetu UNGONINI tunafuga kama mbuzi yaani kila nyumba utakuta wanao wawili watatu so NYAKATI kama hizi ni shoka kwa kwenda mbele tuuu kila house wanajichana na MKUU WA MEZA du WAPI KIPANDE YA NDIMUUUUUUUU hahahaahah
naona umetamani,karibu nishaikata tayari...:target:View attachment 19129