Boxing day huku kwetu

Boxing day huku kwetu

ELLET

Senior Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
111
Reaction score
29
Mambo yalikua hivi!!
 

Attachments

  • christmas.jpg
    christmas.jpg
    381.8 KB · Views: 397
sasa mlifaidi nini hapo? i naona kama inapunguz apetite!
 
Duh hapo nitakulaumu mpaka mwisho,inakuwaje hukutukaribisha kabla sasa umeshiba ndio unatulingishia?


 
This explains a lot now kuhusu vitambi vyenu
 
Hivi Malaria Sugu angeweza kupita hapa kweli na kutazama haya matamu ya nchi?
 
hahaah MKUU wa MEZA AKA LIGURUVI aka KITIFAYA aka KITIMOTO aka hahahha mdomo ushajaa mate. KUle kwetu UNGONINI tunafuga kama mbuzi yaani kila nyumba utakuta wanao wawili watatu so NYAKATI kama hizi ni shoka kwa kwenda mbele tuuu kila house wanajichana na MKUU WA MEZA du WAPI KIPANDE YA NDIMUUUUUUUU hahahaahah
 
labda angekatwa akawekwa kny sahani,jamani hio picha inaput off kabisaa....utatamanije kitu kama hicho??mie nimeona nikahisi kama binadamu vileee??its time niwe vegeterian lol
 
Ujajua utamu wa huyu mdudu tu! kutokubali kuwa vegetarian
labda angekatwa akawekwa kny sahani,jamani hio picha inaput off kabisaa....utatamanije kitu kama hicho??mie nimeona nikahisi kama binadamu vileee??its time niwe vegeterian lol
 
dude lote hilo mmekula wangapi,ndio maana mitumbo inawaninginia kama mninginio,halafu wakata nyasi wakiwasaidia wake zenu mnajipiga risasi
 
dude lote hilo mmekula wangapi,ndio maana mitumbo inawaninginia kama mninginio,halafu wakata nyasi wakiwasaidia wake zenu mnajipiga risasi

Siku hizi hata wanawake wanatoka vitambi mambo ya kizazi kipya
 
hahaah MKUU wa MEZA AKA LIGURUVI aka KITIFAYA aka KITIMOTO aka hahahha mdomo ushajaa mate. KUle kwetu UNGONINI tunafuga kama mbuzi yaani kila nyumba utakuta wanao wawili watatu so NYAKATI kama hizi ni shoka kwa kwenda mbele tuuu kila house wanajichana na MKUU WA MEZA du WAPI KIPANDE YA NDIMUUUUUUUU hahahaahah

Mkuu mbona mimi macho yananieleza huyo ni chamaki nchanga? a.k.a rabbit?
 
Back
Top Bottom