Baada tu ya kusaini mkataba wa Buzwagi, inasemekana wana mazingaombwe wetu wali party vilivyo, kama inavyoonekana kwenye link hii:
http://www.elfyourself.com/?id=1162009912
Mods mnaweza kuihamisha kwenye jokes/udaku mtakaposijikia...
Hasa hiyo belt alo niga mhishimiwa teh teh.. but aisee kuwa mkuu wa kaya msanii noma kweli kweli! I wish angeiona make hapa angetapika kabisa kwani kaisha sema tayali watendaji wake wana mchefua!!! kwi kwi ... Pole yake!