Boys II Men & Co!!!

Quemu

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2007
Posts
984
Reaction score
133
Baada tu ya kusaini mkataba wa Buzwagi, inasemekana wana mazingaombwe wetu wali party vilivyo, kama inavyoonekana kwenye link hii:

http://www.elfyourself.com/?id=1162009912

Mods mnaweza kuihamisha kwenye jokes/udaku mtakaposijikia...
 
Weeh Quick muhuni sana.... umenifanya nicheke mpaka basi!
 
Hasa hiyo belt alo niga mhishimiwa teh teh.. but aisee kuwa mkuu wa kaya msanii noma kweli kweli! I wish angeiona make hapa angetapika kabisa kwani kaisha sema tayali watendaji wake wana mchefua!!! kwi kwi ... Pole yake!
 
Hasa hiyo belt alo niga mhishimiwa teh teh.. but aisee kuwa mkuu wa kaya msanii noma kweli kweli! I wish angeiona make hapa angetapika kabisa kwani kaisha sema tayali watendaji wake wana mchefua!!! kwi kwi ... Pole yake!

Lakini yeye si alishasema kelele huwa hazi mnyimi usingizi....
 
ha hahahaaaaa
inaonyesha mzee karamagi ana vigimbi kuliko wenzie.Nahisi alipata vigimbi hivi wakati anazungukia vitalu vyake migodini.
lol you realy made my day.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…