brac kazi

tena wewe ndio tapeli na mwizi mkubwa
 
the so called ANNA PITA ni tapeli wa kimataifa, mi nilienda kwenye hizo ofisi zao hapo makonde na nikakutana na HRO wao akasema hawajatangaza kazi na hakuna ishu ya kulipa elfu kumi wala nini. huyu dada njaaaaaaa tu imekamata.

Na huyo HRO akasisitiza kua huwa wakitangaza utoa kwenye magazeti kwa kufuata utaratibu. na akanambia sio mimi tu niliekwenda hapo kutaka form watu kibao wamefika hapo na kujulishwa kua ni utapeliiiii
 

Duh!i new it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…