CYTON TECH
Member
- Jan 23, 2019
- 40
- 21
- Thread starter
-
- #21
@wa kupuliza Tafuta wateja kazi umesha Iona. Kwa Msaada wachek watu wanao dili na mambo ya IT. Utapata wateja wengi. Ilo sio Gari ni Kifaa cha Network.Naona umenipunguzia tena mpk 9.3mil ,fanya 10mil biashara ikamilike leo hii hii usiku boss wangu
Hapo ndipo ambapo tangazo lako halijakamilika mkuuTangazo linajieleza na Namba za Simu tumeweka kwa Ufafanuzi. Product Model Number imewekwa na imesha Elezwa kuwa n Brand New. Kuna Raia kaja Kasema alichati inbox akapewa picha na Bei ndio huyo nikamwambia atume Screen short ya namba sms aliyo chati. Tuanzie hapo.
Sema nnachomkubali jamaa bado ni mbishi balaa,[emoji1][emoji1][emoji1] Lofa huyo haelewi vitu vidogo vidogo kama hivi,labda akafanye biashara na mazuzu.
Nazishusha Picha Muda sio Mrefu Mambo yasiwe Mengi ila kwa Wanao elewa washaelewa. Kuna Product zingine ni Model Number tu huna haja ya mapicha labda iwe Used.Sema nnachomkubali jamaa bado ni mbishi balaa
Jamaa anasema ni bulandi niyuuuKuna dalili ya mtu kushikishwa lonya hapa,jamaa kakaza hatumi picha
Atahakikisha vipi km ni brand new?Nazishusha Picha Muda sio Mrefu Mambo yasiwe Mengi ila kwa Wanao elewa washaelewa. Kuna Product zingine ni Model Number tu huna haja ya mapicha labda iwe Used.
πππ Kama ingekua Gari ingekua Ni model ya kutoka co. Gani(Audi,bimmer,Mercedes, Toyota au?) πππ.@wa kupuliza Tafuta wateja kazi umesha Iona. Kwa Msaada wachek watu wanao dili na mambo ya IT. Utapata wateja wengi. Ilo sio Gari ni Kifaa cha Network.
Atakwambia wewe Ni dalali Muda si mrefu Hahah.Atahakikisha vipi km ni brand new?
Vipi kuhusu bei nayo ni automatic?
Duniani hakuna mtu asiekuwa dalali, tumetofautiana angle tu za udalaliAtakwambia wewe Ni dalali Muda si mrefu Hahah.
Naaam,hayo ndio mambo Sasa.Weka na bei.All the best.Kwa walio Uliza Picha Please check Below.View attachment 2179727View attachment 2179729View attachment 2179730
Ili Dalali huyo akae vizur kwa asivyo vijua awe anauliza akaelewesha atajua vingi ata namna ya kuongea na mteja kuliko akiishi kwa Picha na Kukariri.Duniani hakuna mtu asiekuwa dalali, tumetofautiana angle tu za udalali
ππππ haya tuma salamu kwa watu watatu mtoto mzuri.Ili Dalali huyo akae vizur kwa asivyo vijua awe anauliza akaelewesha atajua vingi ata namna ya kuongea na mteja kuliko akiishi kwa Picha na Kukariri.