Best price in town pia[emoji56]Watu waichangamkie maana S22 itakuwa na muonekano kama huu sema a bit premium
View attachment 2005576
Best price in town pia[emoji56]
Hapana chief asante hata bei ya jumla sio hiyoKuna 400k cash/fixed
Kwa iyo pesa napata samsung gani Kalii A seriesHapana chief asante hata bei ya jumla sio hiyo
Kwa sasa kwa simu nina mzigo wa A32 tu mkuuKwa iyo pesa napata samsung gani Kalii A series
AlrightIf you say so
Sawa mkuuUkipata A3 nahiitaji
Mkuu nikiwa na 600,000 napata auKwa sasa kwa simu nina mzigo wa A32 tu mkuu
A32 5G nakupa ofa ya 620kMkuu nikiwa na 600,000 napata au