Hizo nguo hata kama sina gari naweza kununua?Hatuna physical shop ndugu.....
Tunafanya Online Business tuuu kwa sasa.
Karibu
Calls/WhatsApp: 0624 366 385
Unacheka nini sasa? unajua nimeona nguo nzuri kama hizo navaa halafu natoka nje naanza kuzurula kwa miguu ntakuwa kama nimedandia gari kwa mbele😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Sawa,Chief hizi nguo ni kwa wote.
Hiyo raba sh ngapi nahivyo viatu sh ngapi
Picha ya Kwanza na ya chini yake.Namaanisha viatu.npe bei