Bravo manyara stars............................................. .

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
...................Manyara Stars 4 vs Cameroon 3 kwa penati................BRAVO MANYARA STARS...
 
Bravo!! vijana wa Julio, Julio anajua kucheza na saikolojia ya wachezaji. TFF wangekuwa makini na wanathamini mchango wa makocha wazalendo, makocha kama Jamhuri Kihwelo, wangepelekwa ulaya na kupata kozi zaidi ya ukocha ..na kisha kuingizwa katika benchi la ufundi la timu ya taifa.
 
Duuh!!!!! Safi sana... HAWA VIJANA WALIKUNYWA VIKOMBE VYA BABU NINI??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…