samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Style ya uanzishaji mashambulizi na magoli wanayompiga Serbia kama Yanga inavyowatesa wapinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe nawe umeona ee?Style ya uanzishaji mashambulizi na magoli wanayompiga Serbia kama YANGA inavyowatesa wapinzani.
Yanga ni timu ya kawaida sana. Hata ukiangalia Yanga wanavyocheza uwanjani hauvutii kabisa. Wanaruka ruka mara mpira unapigwa kule, unarudi huku.Style ya uanzishaji mashambulizi na magoli wanayompiga Serbia kama YANGA inavyowatesa wapinzani.
Mayele ni mchezaji wa kawaida sana. Ukitaka kumuona ubovu wa Mayele ni club bingwa Afrika hapa unakutana na watu wanaojua kucheza mpira.Tatizo hawatetemi kama mayele
Ichomoe taratibu kujiepushia michubuko pole sana mwana lunyasiYanga ni timu ya kawaida sana. Hata ukiangalia Yanga wanavyocheza uwanjani hauvutii kabisa. Wanaruka ruka mara mpira unapigwa kule, unarudi huku.
Ni mpira mzuri kusikiliza radioni tu kidogo Simba anajitahidi kucheza mpira. Ukiangalia wanavyocheza, mpira unavutia hata ukiangalia kwenye TV.
Angalia mechi ya Simba na Ihefu, unafurahi hata kuangalia
Unanikumbusha jinsi Yanga ilivyochomoa taratibu kujiepusha na michubuko Misri alipokutana Al hilal.Ichomoe taratibu kujiepushia michubuko pole sana mwana lunyasi
Kichwa box sana wewe al hilal iko misri we kiazi mbatataUnanikumbusha jinsi Yanga ilivyochomoa taratibu kujiepusha na michubuko Misri alipokutana Al hilal.
Nikikusema wataniita shabiki wa Yanga. Lakini kweli Yanga ilicheza na Al Hilal ya Misri?Unanikumbusha jinsi Yanga ilivyochomoa taratibu kujiepusha na michubuko Misri alipokutana Al hilal.
Na ndiyo Mabingwa wetu hawa bila shaka. Kama Yanga ni Bingwa wa Ligi kuu Tanzania, kwa nini na hao Wabrazil wasiwe Mabingwa wa Dunia?Style ya uanzishaji mashambulizi na magoli wanayompiga Serbia kama Yanga inavyowatesa wapinzani.
Siku nyingine ujitahidi kutofautisha kati ya hizi timu mbili; Al Hilal ya Sudan, na Al Ahly ya Misri!Yanga ni timu ya kawaida sana.
Tanzania timu ni 3 tu Yanga, Simba na Azam. Zilizobaki bado hakuna timu hapo.
Ukitaka kuona timu inacheza mpira kwenye club bingwa Afrika.
Hapo unakutana na timu zinazoshika nafasi ya 1, 2 & 3.
Pamoja na Bayern kuchukua kombe kila msimu lkn bado huwezi kusema ni timu bora kama Brazil.
Brazil anaifunga Serbia halafu unasema Brazil ni km Yanga? Siwezi kushangaa sabb Yanga baada ya kuifunga ile timu ya sudan 5 akaona mpira amemaliza kilichomtokea Misri alipojiona bado kiwango cha soka kipo kidogo sana.
Kuna timu zipo hiyo Brazil kuifunga Serbia usifikiri umemaliza, kuna Hispania, Portugal, France bado zingine hapo.