Brazil ni nchi tajili, GDP yake ni zaidi ya 2 trillion USD

Brazil ni nchi tajili, GDP yake ni zaidi ya 2 trillion USD

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Mtaani kuna polojo nyingi hasa mashabiki wa mpira. Wanadai Brazil ni nchi maskini.

Wanadai Brazil wanategemea mpira. Wanadai wa Brazil wana njaa.

Jamani Brazil ni nchi tajili. GDP yake ni zaidi ya 2 trillion USD. Ni ya Saba kwa uchumi Mkubwa duniani.
Uchumi wa Brazil ni 70% ya uchumi wa bara la Africa.

Ni nchi ya pili kwa kuwa na uchumi Mkubwa baada ya USA bara la America

Tusiwe wavivu wa kupata maarifa

1000129981.jpg
 
Wabongo tuna danganywa Sana Jana nilikuwa YouTube nikawa natizama baadhi ya clip za nchini Argentina nchi Ina Miji iliyojengeka kinoma nikasema kama hawa Argentina ndio tuna ambiwaga kuwa ni masikini basi Sisi waafrica ni masikini sana
 
Kwa India umetupiga mzee. Per Capita ya India inaizidi kidogo sana Tanzania. Ukiongelea GDP ongelea na Per Capita ndio utaona kwa jicho la ndani zaidi.

India ni ya 141 based on per Capita

India ni the worlds 5th largest economy by nominal GDP na pia ni 3rd Largest purchasing power parity PPP

Ukisema utajiri uangaliwe based on GDP per capital basi ina maana Qatar ni tajiri kuliko USA.
 
India ni the worlds 5th largest economy by nominal GDP na pia ni 3rd Largest purchasing power parity PPP

Ukisema utajiri uangaliwe based on GDP per capital basi ina maana Qatar ni tajiri kuliko USA.
Uchumi haupimwi kwa GDP pekee kijana. Kama ingekuwa hivyo Nigeria ndio tajiri numbari moja Africa. Hebu waangalie watu wake wanavyoishi.

Population ya India inawafanya wazalishe sana. Ndio maana ya Gdp.
Lakini umesahau kabisa kuongelea

Human Development Index​

 
Uchumi haupimwi kwa GDP pekee kijana. Kama ingekuwa hivyo Nigeria ndio tajiri numbari moja Africa. Hebu waangalie watu wake wanavyoishi.

Population ya India inawafanya wazalishe sana. Ndio maana ya Gdp.
Lakini umesahau kabisa kuongelea

Human Development Index​

Soma mstari wa mwisho kwenye hiyo comment yangu uliyoiquote,
Sawa Kijana.

Naona umeamua kuyakataa maneno yako haya kwenye comment 8#

"Kwa India umetupiga mzee. Per Capita ya India inaizidi kidogo sana Tanzania. Ukiongelea GDP ongelea na Per Capita ndio utaona kwa jicho la ndani zaidi" Huu ndio ulikua utetezi wako!
 
Brazil sio kapuku, ila Brazil ni kubwa mnoo, nadhani hii ni changamoto pia. Ukubwa wa brazil ni 🇮🇳 india 2 na nusu kama sikosei
 
The most important thing ni Per Capita income..
Nigeria imeizidi Portugal uchumi based on GPD lakini per Capita ya Portugal ni dollar 33000 yaani ni mara 8 ya per Capita ya Nigeria...halafu kuutwa wanigeria wanakimbia kwao na kuzamia Portugal...
The same applies to China...Ina GDP kubwa lakini nilishawahi kuona mahali clip ya wachina wanazamia Europe wakati China imeipita Kiranja wa GDP pale Europe i.e Germany dollar Trillion 14 based on GDP.
 
Back
Top Bottom