Brazil wametolewa kihaki

Brazil wametolewa kihaki

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Brazil wameyaaga mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2022 baada ya kufungwa 4-2 na Croatia kwa mikwaju ya penalti.

Hakika Brazil ilikuwa ni ile ya akina Pele, Tostao, Garrincha, Didi na wengineo na hata ile ya akina Zico na Falcao vilevile na ya akina Ronaldo de Lima na Ronadinho na ile ya akina Romario, Marcio Santos n.k, lakini hii inatumia tu jina la Brazil lakini ni bure kabisa.
 
Brazil wameyaaga mashindano ya kombe la dunia mwaka 2022 baada ya kufungwa 4-2 na Croatia kwa mikwaju ya penalti,

Hakika Brazil ilikuwa ni ile ya akina Pele, Tostao, Garrincha, Didi na wengineo na hata ile ya akina Zico na Falcao vilevile na ya akina Ronaldo de Lima na Ronadinho na ile ya akina Romario, Marcio Santos nk lakini hii inatumia tu jina la Brazil lakini ni bure kabisa.
Lakini bado bora hii kuliko Ile iliyopigwa kwao 7-1 na Germany
 
Brazil wameyaaga mashindano ya kombe la dunia mwaka 2022 baada ya kufungwa 4-2 na Croatia kwa mikwaju ya penalti,

Hakika Brazil ilikuwa ni ile ya akina Pele, Tostao, Garrincha, Didi na wengineo na hata ile ya akina Zico na Falcao vilevile na ya akina Ronaldo de Lima na Ronadinho na ile ya akina Romario, Marcio Santos nk lakini hii inatumia tu jina la Brazil lakini ni bure kabisa.
ni kweli
 
Brazil wameyaaga mashindano ya kombe la dunia mwaka 2022 baada ya kufungwa 4-2 na Croatia kwa mikwaju ya penalti,

Hakika Brazil ilikuwa ni ile ya akina Pele, Tostao, Garrincha, Didi na wengineo na hata ile ya akina Zico na Falcao vilevile na ya akina Ronaldo de Lima na Ronadinho na ile ya akina Romario, Marcio Santos nk lakini hii inatumia tu jina la Brazil lakini ni bure kabisa.
Mkeka wangu umechanika vibaya sana. Hapa nipo naugumia maumivu tu.
 
Back
Top Bottom