Breaching of code of conduct-Msaada tafadhali

Breaching of code of conduct-Msaada tafadhali

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Hivi Boss wako akikutuhumu kwamba umetoa siri za aidha kampuni au vinginevyo wakati si kweli je ni wapi unaweza kumshitaki atoe ushahidi kwa tuhuma hizo?

Kuna rafiki yangu amesingiziwa na Boss wake kwamba amekuwa akitoa siri za kampuni nje wakati siyo kweli sasa anaomba msaada kwa wanasheria apeleke wapi malalamiko ili huyu Boss aitwe huko athibitishe!!
 
pole sana...... please refer to the evidence act.... section 111 ambayo inasema he who alleges must prove,burden of proof inabaki kwake yeye anaekyuhumu.wala usmfungulie mashtaka yoyote kama hajakufkuza kazi.lakini kama akitaka kukufkuza kazi itakua njia nzuri na salama kumuomba athibitishe
 
Back
Top Bottom