wana jf,
ninahitaji information ya legal breakdown ya mshahara wa wafanyakazi wa serikali na makampuni binafsi kama sheria ya nchi inavyotaka. Information yeyote (kama asilimia za kodi mbalimbali, ssf, n.k. Itakuwa msaada mkubwa)
kama naweza kupata document yeyote itakayonisaidia pia itakuwa vyema.
Ahsanteni!
Subhaanallah! Mhh hiko kifo si mchezo...Wee Mtangoo unataka kuchangamana na mafisadi we engineer!!?
Kaa huko huko ulipo, serikalini kuna ushawishi wa kuhujumu umma ndg yangu. Kuna mgongano wa kimasrahi kati ya uzalendo na uhujumu. Binafsi nafahamu kuwa wewe huna tamaa ila utakutana na mijitu misaka tonge huko kwenye taasisi za serikali. Watakutumia kwa nguvu kuvuruga taaluma yako ukikataa "WATAKUMALIZA"
Unakumbuka saga la EWURA last month?
Juzi engineer wa maji wilaya ya Morogoro amekufa kifo cha kutatanisha haijawahi tokea ktk nchi hii; alipata ajari akiwa anaendesha gari yake gx100 kwa mwendo kasi mdogo sana, aligongana uso kwa uso na fusso akarushwa juu kwenye nyaya tatu za umeme, then akasafiri na nyaya kama mita50 hivi mpaka kwenye paa la nyumba ya mtu. Katoboa paa mpaka chumbani juu ya meza na meza ikavunjika wakamuokota uvunguni mwa meza akiwa mfu bila dalili ya kupigwa shoti ya umeme!!!
Kaa huko huko classmate wangu Nchi ina wenyewe hii usijeliza nduguzo!
Subhaanallah! Mhh hiko kifo si mchezo...
Wee Mtangoo unataka kuchangamana na mafisadi we engineer!!?
Kaa huko huko ulipo, serikalini kuna ushawishi wa kuhujumu umma ndg yangu. Kuna mgongano wa kimasrahi kati ya uzalendo na uhujumu. Binafsi nafahamu kuwa wewe huna tamaa ila utakutana na mijitu misaka tonge huko kwenye taasisi za serikali. Watakutumia kwa nguvu kuvuruga taaluma yako ukikataa "WATAKUMALIZA"
Unakumbuka saga la EWURA last month?
Juzi engineer wa maji wilaya ya Morogoro amekufa kifo cha kutatanisha haijawahi tokea ktk nchi hii; alipata ajari akiwa anaendesha gari yake gx100 kwa mwendo kasi mdogo sana, aligongana uso kwa uso na fusso akarushwa juu kwenye nyaya tatu za umeme, then akasafiri na nyaya kama mita50 hivi mpaka kwenye paa la nyumba ya mtu. Katoboa paa mpaka chumbani juu ya meza na meza ikavunjika wakamuokota uvunguni mwa meza akiwa mfu bila dalili ya kupigwa shoti ya umeme!!!
Kaa huko huko classmate wangu Nchi ina wenyewe hii usijeliza nduguzo!
duuh... inatisha balaa