Breakfast in Bed....

Mie naweza aisee ila baada ya kukaa nae kwa muda wa miezi kadhaa maana mwanzoni siwezi kutokana na sababu ya kisaikolojia kwani anaweza akahisi labda ninamnyenyekea kwa kuwa kuna kitu natafuta lakini pia mwanzoni ni sehemu ya kusoma hisia zake pia kwangu
 
Chai gani wakati umemtia vidole nae alikuwa anaikamata airejeshe kunako? Akanawe nawe aache uchafuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…