stable woman JF-Expert Member Joined Nov 12, 2013 Posts 3,884 Reaction score 4,479 Mar 11, 2017 #41 Sky Eclat said: Hii machine ni kwaajili ya nanasi, matango kuna scoop kama ya ice cream lakini inaacha hiyo shape ukichota. Click to expand... Asante kwa ufafanuzi! Na papai limenivutia sana lilivyokatwa!
Sky Eclat said: Hii machine ni kwaajili ya nanasi, matango kuna scoop kama ya ice cream lakini inaacha hiyo shape ukichota. Click to expand... Asante kwa ufafanuzi! Na papai limenivutia sana lilivyokatwa!
marveljt JF-Expert Member Joined Jan 11, 2017 Posts 1,503 Reaction score 1,479 Mar 13, 2017 #42 Matunda hapo umetuonyesha mengi ila kuna baadhi yake siyo ya hapa tanzania. Asante kwa kuhimiza watu kutumia matunda katika maisha yao, ingawaje tunaweza kuyatumia kulingana na msimu husika kama mwenyezi alivyotupangia
Matunda hapo umetuonyesha mengi ila kuna baadhi yake siyo ya hapa tanzania. Asante kwa kuhimiza watu kutumia matunda katika maisha yao, ingawaje tunaweza kuyatumia kulingana na msimu husika kama mwenyezi alivyotupangia
NZURI PESA JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 5,958 Reaction score 2,954 Apr 8, 2017 #43 Sky Eclat said: Kabisa mkuu, tule kwa afya zetu. Click to expand... hapo kwetu yanapatikana matatu yu nanas,apple,embe hayo mengine tunaona kwenye picha
Sky Eclat said: Kabisa mkuu, tule kwa afya zetu. Click to expand... hapo kwetu yanapatikana matatu yu nanas,apple,embe hayo mengine tunaona kwenye picha