Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kikwete alishasema?Bwana Benjamin Mkapa alisema taratibu zilifatwa....na Kikwete ivo ivo ..Yaani ukiona Umefungwa na serikali hii ujue we Maskini wa mwisho
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ama kweli hawa jamaa wanajua kuchezea akili zetu... Wamepoteza muda na hela za serikali kwa matokeo ya kipuuzi namna hii, hivi serikali haina wanasheria makini? Mbona inashindwa shindwa tu kizembe namna hii? Hivi kulikuwa na umuhimu gani wa kukomaa na hii kesi?
Kumbe haki ya mtu ni upuuzi?Ama kweli hawa jamaa wanajua kuchezea akili zetu... Wamepoteza muda na hela za serikali kwa matokeo ya kipuuzi namna hii, hivi serikali haina wanasheria makini? Mbona inashindwa shindwa tu kizembe namna hii? Hivi kulikuwa na umuhimu gani wa kukomaa na hii kesi?
Anguko la Rais Kikwete na PCCB
Ama kweli hawa jamaa wanajua kuchezea akili zetu... Wamepoteza muda na hela za serikali kwa matokeo ya kipuuzi namna hii, hivi serikali haina wanasheria makini? Mbona inashindwa shindwa tu kizembe namna hii? Hivi kulikuwa na umuhimu gani wa kukomaa na hii kesi?
Wana jf prof. Mahalu ameshinda ile kesi yake iliyokuwa inamkabidhi mara baada ya kusoma leo.