BREAKING NEWS: Canecutters Illovo Kilombero Sugar waweka mapanga chini.

Magane

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
202
Reaction score
57
Wakataji miwa aka wajomba wa Kampuni ya sukari Kilombero wamegoma leo kwenda kazini kwa madai kwamba wamedanganywa na wakuu wa wilaya za kikombero na kilosa kwamba wangekuja jana tarehe 15.8.2011 kuja kuwapa majibu ya madai yao. Hali bado ni tete. FFU wametanda kila mahali hapa kiwandani.
 
Hivi watu wakigoma FFU wanatafutia nn?mm ninavyojua ni kuwa walitakiwa wawapatie ulinzi tuu!ngoja siku FFU nao wagome sijui nani atamwagia mwingine maji ya washa washa
 
Mgomo ukiendelea bei ya sukari itazidi kupaa. FFU wangetufaa zaidi wakikata miwa badala ya waliogoma.
 
Hivi watu wakigoma FFU wanatafutia nn?mm ninavyojua ni kuwa walitakiwa wawapatie ulinzi tuu!ngoja siku FFU nao wagome sijui nani atamwagia mwingine maji ya washa washa
<br />
<br />
wanaenda kukamilisha kazi yao yakuendeleza ghasia ndo maaana kama hamfanyi fujo wao wanaanzisha hizo fujo..
 
wapeni haki zao hiyo kazi ni ngumu sana
 
Narudia tena kusema FFU wataishia kuishi kwenye nyumba za Mbwa na Kuku, siku moja nilitembelea kikazi ile kambi yao pale Tanga majani mapana yaani huwezi amini kuwa wanaishi binadamu, wapuuzi wakubwa hawa, hata kuku wa kisasa wanaishi sehemu yenye hadhi kidogo, tangu lini baba akala na mama na mabinti zake pamoja? Nenda kwenye kota za polisi utaona hata sehemu wanazonyea vyoo vimefurika!!! Pumbav kabisa halafu leo stress zao wanahamishia kwa wananchi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…