sioni ubaya wa kinana kuwa spika tofauti ya kinana na SITA na msekwa ni ipi, CCM wanatoa fomu kwani wao ndo wenye haki kisheria kutoa spika basi nasi chadema tupeleke wetu akapigiwe kura na CCM awe spika ajibu hiyo. Mr II au Mdee wawe ma spika au TOZI wetu wa Arusha? mambo hayo