eeeeeee mola..yaliyotokea Pakistan yatokee basi na Tanzania siku moja..
eeeeeee mola..yaliyotokea Pakistan yatokee basi na Tanzania siku moja..
Breaking News kutoka Sky News ni kwamba Fidel Castro amejiuzulu urais waCuba na u-commander-in-chief wa jeshi la nchi hiyo (imebidi ni-edit heading baada ya kuona YeboYebo kisha-break hiyo news)
Pia huko Pakistan,chama cha Rais Musharraf kime-concede defeat katika uchaguzi nchini humo
Nadhani hizi ni habari za kisiasa ndio maana nimeziweka hapa.
ccm Wamepata Hii Habari?