Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
tusubiri taarifa za uhakika toka kwa madaktari maana imekuwa ni kitendawili kwa Watanzania juu ya chanzo cha kifo cha Ngwair,tumeumia sana tuliokuwa tunampenda huu msanii
Mungu amjalie afya M2 the P!
Ni nini kimewakuta hawa jamaa lol!
Mungu awapumzishe mahali wanapostahili.............amen!