yanga kwa tabia yenu ya zomea zomea msimu huu lazima mpasuke makoo,bdo mechi zingne znakuja.ushauri wangu kwa wanayanga'**if u cn't win them join them.**
Mkuu Mechi imekwisha muda mrefu, Simba wamepita hatua inayofuata lakini kwa matokeo ya leo waarabu wamepata goli tatu, sisi tumepata moja, hivyo kusonga kwa faida ya goli la ugenini.