*Breaking News*

Kweli nimeamini njaa haina baunsa. Le profeseri mzima analazimisha awe kiongozi wa kikundi cha watu ambao wameonesha dhahiri hawamtaki tena baada ya kutangaza mwenyewe hadharani kuwa anang'atuka !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…