Ni kweli kuna jamaa yngu alikosa na jna alikwenda kufatilia kani sms sasa iv kunambia kuwa mengine yametoka na yye yumo,,,we tisa tim ktk web yao kwa mfumo uleule na ingiza data zako then search mayb umebahatika pia
Hawa kazi imewashinda kabisa!!! Wakiona kelele mtaani kuhusu mikopo zimekuwa kubwa wanaongeza idadi ya wanaostahili kupata mikopo!!! Utendaji wao ni SIFURI!!!