teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
Wadau naomba kujua tatizo ninini, gari aina ya nissan vannete ukishika breki inavuta kushoto kiasi kwamba ukiwa na speed zaidi ya 80 inaweza kuanguka, nimejaribu kupuliza zile pipe za mafuta kuona kama zimeziba lkn ziko sawa nikabadilisha master sillinder ya breki lakin shida bado ipo, na zaidi ukikanyaga mara mbili au tatu haivuti, ukiishia moja inavuta na pia inakuwa ngumu sana, naomba ushauri wenu.