Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Dar es Salaam-19 Desemba, 2024
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuutaarifu umma na wadau wake kuwa inatarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya mfumo wake wa usajili kwa njia ya mtandao (Online Registration System, ORS) kwa siku mbili (2) kuanzia tarehe 20 Desemba 2024 saa 12:00 jioni hadi tarehe 23 Desemba 2024 saa 1:30 asubuhi. Wakati wa maboresho hayo, baadhi ya nyakati za kukatika kwa Mfumo zinaweza kutokea. BRELA inaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaoweza kujitokeza kutokana na Maboresho hayo.
Pia soma:
TAARIFA KWA UMMA
CHANGAMOTO ZA MFUMO WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO (ORS)
CHANGAMOTO ZA MFUMO WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO (ORS)
Dar es Salaam-19 Desemba, 2024
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuutaarifu umma na wadau wake kuwa inatarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya mfumo wake wa usajili kwa njia ya mtandao (Online Registration System, ORS) kwa siku mbili (2) kuanzia tarehe 20 Desemba 2024 saa 12:00 jioni hadi tarehe 23 Desemba 2024 saa 1:30 asubuhi. Wakati wa maboresho hayo, baadhi ya nyakati za kukatika kwa Mfumo zinaweza kutokea. BRELA inaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaoweza kujitokeza kutokana na Maboresho hayo.
Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma
Pia soma: