KERO BRELA msicheleweshe maombi ya wawekezaji kisa mtu hajatoa chochote

KERO BRELA msicheleweshe maombi ya wawekezaji kisa mtu hajatoa chochote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Tanzania kwa nini tunakua namna hii? Watu wa Brela mtu ameshakamilisha na kujaza form zote na kulipia kila kitu kitendo cha mfanyakazi wa Brela kubonyeza button "FINISH" kinachukua siku 2 mpaka 3 kama hutoi chochote.

Msifanye rushwa kua kitu cha lazima ili mtu akamilishe mambo yake hasa yakiwa ni haki yake kisheria kwa sababu anakua kakamilisha kila kitu.Mnarudisha watu nyuma na kuikosesha serikai mapato.

BRELA
 
Tanzania kwa nini tunakua namna hii ? Watu wa Brela mtu ameshakamilisha na kujaza form zote na kulipia kila kitu kitendo cha mfanyakazi wa Brela kubonyeza button "FINISH" kinachukua siku 2 mpaka 3 kama hutoi chochote.

Msifanye rushwa kua kitu cha lazima ili mtu akamilishe mambo yake hasa yakiwa ni haki yake kisheria kwa sababu anakua kakamilisha kila kitu.Mnarudisha watu nyuma na kuikosesha serikai mapato
Fuata taratibu na sheria zilizopo kwa usajili wa uhakika,
kua mstahimilivu na mwenye subra kusubiri muda uliopewa kukamilisha usajili,

acha haraka na kujipendekeza kutoa rushwa, na utapigwa kweli 🐒
 
Back
Top Bottom