Brela ni kizungumukuti

Brela ni kizungumukuti

1975

Senior Member
Joined
Jul 9, 2009
Posts
131
Reaction score
18
Jamani nimegundua kwamba utaratibu uliopo ofisi namba 309 brela si sawa na nikikwazo kikubwa kwa kuregister trade marks.Leo nimeenda pale na nimekutana na dada mumoja mweusi anamajibu mabovu kama nini?Swali langu hivi viongozi wake wanafanya nini kumuchukulia hatua au kumpa elimu ya customer care.
 
Back
Top Bottom