Umeshapigwa Hapo,ungeenda tu physically
Nakushauri uwapigie simu.Nimefanya Regstration nimefikia sehemu ya kulipia na nimelipa baada ya hapo naona kimya. Nikituma email hawajibu.
Kuna mwingine alisha kutana na tatizo kama langu?
Sent using Jamii Forums mobile app