Ni vema huyu Kocha akapata maono ya kufundisha kwenye ligi za maana ili kukuza uwezo wake , kuendelea kufundisha soka kwenye ligi inayofanana na picha ya kihindi ni kujimaliza .
Picha ya kihindi ndio sinema ambazo mtu mmoja anawapiga watu wote kuanzia mwanzo hadi mwisho ! The same to Celtic .
Tatizo sasa wanapokuja UEFA , vipigo wanavyopata ni aibu !
Mshaurini huyu kocha atafute ligi ngumu akafundishe , kutimuliwa Liverpool kusimfanye apotee kiasi hiki .