Brevis Bei nafuu. WHY?

Brevis Bei nafuu. WHY?

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Insta kumefululiza matangazo ya BREVIS zinazouzwa Bei Chee 4.8 m TZS, Tena namba "D" hizi gari Zina tatizo gani?
aman_used_car_20200530_003001_0.jpg
aman_used_car_20200530_003001_1.jpg
aman_used_car_20200530_003001_2.jpg
aman_used_car_20200530_003001_6.jpg
aman_used_car_20200530_003001_3.jpg
aman_used_car_20200530_003001_9.jpg
aman_used_car_20200530_003001_8.jpg
aman_used_car_20200530_003001_7.jpg
 
Brevis ni gari kimeo sana,ukizitazama na ukiendesha ikiwa mpya ziko bomba kweli kweli lakini zinasumbua sana spare za hapo nje nje ya engine yake,yani from no tu inaweza pasua radiator,mala pump ya maji,sometimes na upya wake unaweza shangaa tu mshale wa joto uko juu na inaunguza kabisa gasket ilihali maji ya kupooza engine yamo..yani gari fulani hivi ya ajabu sana, binafsi hata nikitangaziwa milion mbili na ina namba D kabisa kabisa siwezi kununua
 
Brevis ni gari kimeo sana,ukizitazama na ukiendesha ikiwa mpya ziko bomba kweli kweli lakini zinasumbua sana spare za hapo nje nje ya engine yake,yani from no tu inaweza pasua radiator,mala pump ya maji,sometimes na upya wake unaweza shangaa tu mshale wa joto uko juu na inaunguza kabisa gasket ilihali maji ya kupooza engine yamo..yani gari fulani hivi ya ajabu sana, binafsi hata nikitangaziwa milion mbili na ina namba D kabisa kabisa siwezi kununua

Ushauri maana usinunue gari inayouzwa na mtu mweusi agiza moja kwa moja anapouza jua ina tatizo au kuna tatizo linakuja kutokea
 
Mbona kama hueleweki? kweni tunabishana? kitu kikiwekwa humu si lazima mtu anategemea watu watasema kitu? haiwezekani uonyeshe kitu afu upate kile tu kinachofurahisha moyo wako...tunaongea kwa uzoefu juu ya magari,yamkini uulize tu kitu bila mihemko ili usaidiwe. kuna gari zinawekwaga humu zingine unazijua mpaka ziliko pita ni mikono mingapi na wakati mwingine hata kwangu imewahi kupita japo si kwa kuvuruga biashara ya mtu isipokua kuwasaidia watu maana mwenye ame post ni kama anahitaji kujua jambo na si kufanya biashara isiyo na chalange
Ok sasa ni shida basi tuhamie kununua nissani wakati mafundi wa nissan hamna
 
Mbona kama hueleweki? kweni tunabishana? kitu kikiwekwa humu si lazima mtu anategemea watu watasema kitu? haiwezekani uonyeshe kitu afu upate kile tu kinachofurahisha moyo wako...tunaongea kwa uzoefu juu ya magari,yamkini uulize tu kitu bila mihemko ili usaidiwe. kuna gari zinawekwaga humu zingine unazijua mpaka ziliko pita ni mikono mingapi na wakati mwingine hata kwangu imewahi kupita japo si kwa kuvuruga biashara ya mtu isipokua kuwasaidia watu maana mwenye ame post ni kama anahitaji kujua jambo na si kufanya biashara isiyo na chalange
Point ya kufungia mwezi Mei
 
Back
Top Bottom