BRICS 2024: Viongozi wa Mataifa makubwa Duniani wakutana mjini Kazan, Urusi

BRICS 2024: Viongozi wa Mataifa makubwa Duniani wakutana mjini Kazan, Urusi

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Viongozi wa Mataifa makubwa Duniani wakutana Nchini urusi katika mji wa Kazan.

BRICKS ilianzishwa kwa lengo la kuvunja mnyororo wa kinyonyaji wa nchi za magharibi zikiongozwa na USA.

Malengo ni mengi lakini kwa kuanzia ni biashara baina ya nchi wanachama, matumizi ya mfumo wa malipo wa kimataifa ambao ni tofauti na ule wa nchi za magharibi (SWIFT), kuachana na matumizi ya sarafu ya Marekani katika miamala ya kimataifa, kuanzishwa kwa New development Bank itakayokuwa ina sapoti miradi tofauti na WB na IMF na mengine mengi.

Vyombo vya habari vya nchi za magharibi vimeripoti mkutano huu kwa wivu mkubwa sana na kuona kama RUSSIA ana lengo la kuangusha ule utawala wa muda mrefu wa marekani na ulaya katika masuala mbalimbali ya kiuchumi , kijeshi na n.k hapa duniani ( New world order)

Nini mtazamo wako ndugu mwana jamii forum kuhusu mkutano huu ulioanza tangu 22.10.2024 Hadi 24.10.2024

Screenshot_20241023-103653.png
Screenshot_20241023-102455_1.jpg
Screenshot_20241023-102606_1.jpg
Screenshot_20241023-102436_1.jpg
Screenshot_20241023-102627_1.jpg
Screenshot_20241023-102528_1.jpg
 
Viongozi wa Mataifa makubwa Duniani wakutana Nchini urusi katika mji wa Kazan.

BRICKS ilianzishwa kwa lengo la kuvunja mnyororo wa kinyonyaji wa nchi za magharibi zikiongozwa na USA.

Malengo ni mengi lakini kwa kuanzia ni biashara baina ya nchi wanachama, matumizi ya mfumo wa malipo wa kimataifa ambao ni tofauti na ule wa nchi za magharibi (SWIFT), kuachana na matumizi ya sarafu ya Marekani katika miamala ya kimataifa, kuanzishwa kwa New development Bank itakayokuwa ina sapoti miradi tofauti na WB na IMF na mengine mengi.

Vyombo vya habari vya nchi za magharibi vimeripoti mkutano huu kwa wivu mkubwa sana na kuona kama RUSSIA ana lengo la kuangusha ule utawala wa muda mrefu wa marekani na ulaya katika masuala mbalimbali ya kiuchumi , kijeshi na n.k hapa duniani ( New world order)

Nini mtazamo wako ndugu mwana jamii forum kuhusu mkutano huu ulioanza tangu 22.10.2024 Hadi 24.10.2024

View attachment 3133242View attachment 3133248View attachment 3133249View attachment 3133250View attachment 3133251View attachment 3133253
hakuna jipya hapo ,China na India wako hapo kimaslah tuu.kiduku ndiye rafiki wa kweli wa putin
 
Wazo langu ni kwamba west wameshindwa kuitenga Russia hili lakwanza nalapili ni kwamba kwa stage ilipofikia multipolar world haiepukiki ili iepukike mashariki ya kati inatakiwa itokee vita kubwa halafu Iran ipigwe na ichakae brics inaupiga mwingi
 
Wazo langu ni kwamba west wameshindwa kuitenga Russia hili lakwanza nalapili ni kwamba kwa stage ilipofikia multipolar world haiepukiki ili iepukike mashariki ya kati inatakiwa itokee vita kubwa halafu Iran ipigwe na ichakae brics inaupiga mwingi
Kwa hiyo Iran ndo tishio la brics
 
hakuna jipya hapo ,China na India wako hapo kimaslah tuu.kiduku ndiye rafiki wa kweli wa putin
Ndio najiuliza kama India na China Wana migogoro ya kimipaka iweje wawe kundi Moja kama sio unafiki huo ni ninii
 
Kama NATO ilivyo chaka la USA, BRICS pia ni chaka la Russia. World super powers wana namna za kutengeneza haegemonies zao
NATO ni umoja wa kijeshi,
wakati BRICS sio umoja wa kijeshi,
So sioni ulinganifu wako kama una maana yoyote.
 
Back
Top Bottom