Leo umeamka na idd AminTHE butcher of uganda. brigadier isaac maliyamungu, chief of operations in the ugandan army, responsible for the brutal killings of thousands of ugandans during the 1971 to 1979 nightmare in the country. maliyamungu was the most trusted lieutenant of dictator idi amin. carried out most of the 'vip' treatments given to suspects, on the orders of his boss. born in zaire, he died in sudan in february,, 1984.
View attachment 1213901
😂 😂 😂 😂Usijali kesho nitaamka na wewe
KaribuUsijali kesho nitaamka na wewe
Nakuomba, nakuomba niko chini ya miguu yako. Tafadhali sana usipange kuamka na mimi hata siku moja, ninaweza kupata ugonjwa wa moyo!!Usijali kesho nitaamka na wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuomba, nakuomba niko chini ya miguu yako. Tafadhali sana usipange kuamka na mimi hata siku moja, ninaweza kupata ugonjwa wa moyo!!
hahahahahahahahaha, juzi kati nilisikia waganda wakimuenzi Id Amini Dadaa, wamuenzi na huyu, ni shujaa aliyesahaulika.
Nasikia Luteni Kanali Maliyamumgu alifia congo na sababu ya kifo ni kujiuwa kwa sumu kali
Sababu ya kifo chake ni nini?Maliamungu alifia Sudan , February 1984 "sky aliandika ivo, Congo alizaliwa