Brighton Moyo aliyeigiza kifo na kufufuliwa afariki dunia kweli

Brighton Moyo aliyeigiza kifo na kufufuliwa afariki dunia kweli

sam leon

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2017
Posts
890
Reaction score
1,191
Brighton Moyo, raia wa zimbabwe aliekuwa akiishi Afrika Kusini alieigiza kufa na kufufuliwa na Mtumishi Alph Lukau.

Safari hii amefariki kweli na kusikwa na sio maigizo. Inasemekana alikua akiishi na VVU pia figo na mapafu yake vilishindwa kufanya kazi.

Source: Swahili Times
IMG_20190408_185758.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha za msiba wake zipo wapi, cheti cha kifo kiko wapi. Basi tuone kaburi lake.
 
Back
Top Bottom