sam leon
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 890
- 1,191
Brighton Moyo, raia wa zimbabwe aliekuwa akiishi Afrika Kusini alieigiza kufa na kufufuliwa na Mtumishi Alph Lukau.
Safari hii amefariki kweli na kusikwa na sio maigizo. Inasemekana alikua akiishi na VVU pia figo na mapafu yake vilishindwa kufanya kazi.
Source: Swahili Times
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hii amefariki kweli na kusikwa na sio maigizo. Inasemekana alikua akiishi na VVU pia figo na mapafu yake vilishindwa kufanya kazi.
Source: Swahili Times
Sent using Jamii Forums mobile app