BRING BACK OUR PLUJM

Fasir

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
222
Reaction score
270
Wadau toka amekuja huyu kocha Lwandamina naona kiwango cha klabu yetu ya Yanga kinashuka kwa kasi ya ajabu sana... Yaani tumekua Yanga Mdebwedo yani sisi wakupigwa Goli nne na Azam... Naomba uongozi wa Yanga umrudishe Hans Van Plujm haraka iwezekanavyo
 

young walimkimbiza bila huruma.Ngoja mungu awaonyeshe
 
mbona wakati mnashinda hatukusikia hayo maneno ilikuwa Msuva, Tambwe ,Ngoma ni balaa mkajiita wazee WA sita ....
 
Pluijm kafanye maisha,ni bora aende AZAM kuliko Yebo ambako hakuthaminiwa.
 
Poleni huku mtaani mpewa jina jengine baada ya lile la wakimataifa,xx mnaitwa yanga 4G...
 
Mikia wekeni akiba ya maneno.... Juma luizio akihojiwa na Azam TV leo alisema tunaenda kukutana na timu kubwa nusu fainali....
 
there is something behind bars ...kuna wapiga dili pale yanga thatsway wakamuondoa pluijin
 
Sijaona sababu ya kumuondoa Pluijin.Lwandamina hana lolote zaidi ya kuja kupiga hela Yanga halafu Mwenyekiti aongeze deni kwenye Timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…