Na bado.Wadau toka amekuja huyu kocha Lwandamina naona kiwango cha klabu yetu ya Yanga kinashuka kwa kasi ya ajabu sana... Yaani tumekua Yanga Mdebwedo yani sisi wakupigwa Goli nne na Azam... Naomba uongozi wa Yanga umrudishe Hans Van Plujm haraka iwezekanavyo
Wadau toka amekuja huyu kocha Lwandamina naona kiwango cha klabu yetu ya Yanga kinashuka kwa kasi ya ajabu sana... Yaani tumekua Yanga Mdebwedo yani sisi wakupigwa Goli nne na Azam... Naomba uongozi wa Yanga umrudishe Hans Van Plujm haraka iwezekanavyo
Yaani kwakifupi (DYAMT)Wanaitwa dar young afirika modern taarabu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mbavu zanguWanaitwa dar young afirika modern taarabu