Bring back Wema

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
7,479
Reaction score
5,157
Washabiki wenye mapenzi ya dhati na Wema Sepetu wamekwazwa na tabia za Wema na maisha yake yasiyokuwa na muelekeo hivyo kuamua kuzindua kampeni ya bring back our Wema Sepetu.

Kampeni hii imezinduliwa rasimi ikiwa na lengo LA kumrudisha Wema kwenye mstari na kumkumbusha juu ya wajibu wake katika kuitengeneza future yake baada ya kufulia kusiko mfano.

Pia mashabiki hao wamesema wamechoshwa na tabia ya watu kumtumia Wema kutimiza malengo yao.

Ameshauriwa afungue mradi wowote wa kumuingizia kipato, aachane na mashoga n.k.

Mashabiki hao wamedai kampeni hii haitakoma hadi Wema abadilike na kuonesha muelekeo.

My take: Wema amezungukwa na team njaa na mbulula unadhani kuna kitu hapo?

 
Ujaweka sawa hebu funguka kwani a yupo wqpi sasa na alikuwq wapi ili arudi unaposema wewe
 
Hahahaaa kizazi cha wahongaji kimekwisha wao wanakumbuka shuka asubuhi,madam kigodoro ndio mpango mzima kinamuweka mjini yeye na mganga wke aunt,mana hata akienda choo mganga yupo nyuma cjui sauz mara mwz yupo nyuma,au domo anagegeda wote
 
Hivi kuna mwanaume aliyetulia na mwenye future anaweza kuingiza dushe kwenye kitu ya huyo dada, waliompitia wote hata kwenye google unawapata, nafikiri kigodoro ni saizi yake, hongera angela damas,unakula kipupwe tu
 
Form miss tanzania to dancer....soooooooooon itakua to stripper
 
ameshachelewa huyo! gubeli ..........

Grand PA
 
angela damas yuko wap cku hz???

Hivi kuna mwanaume aliyetulia na mwenye future anaweza kuingiza dushe kwenye kitu ya huyo dada, waliompitia wote hata kwenye google unawapata, nafikiri kigodoro ni saizi yake, hongera angela damas,unakula kipupwe tu
 
Hahaaa wakorintho nilikua namuona mwanga ila daah sasa hivi naanza kumuelewa:embarassed2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…