... you are wrong; absolutely wrong!Kuna maneno mengi yaliyotoholewa kutoka lugha nyingine na kuwa ya Kiswahili, machache ninayoyakumbuka ni boma, waswahili tukaita bomani.
Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa kiingereza katika maeneo waliokuwa wanayatawala "British Overseas Military Administration" kifupi BOMA.
Eneo liliko Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tanga wakati wa ukoloni kulikuwa na ghala la silaha yakiwemo mabomu, wenyewe wakaita "Bomb Area", waswahili wakaita Bombo Eria.
Carrier Cop waswahili wakaita Kariakoo.
Ongeza mengine.
British Overseas Military and Administration.... you are wrong; absolutely wrong!
BOMA = British Overseas Management Authority; almost equivalent to District Commissioner (DC) today. And that's why today it is not very uncommon to hear people saying "naenda bomani" meaning they are going to DC's office or some other offices around those compounds.
Shukurani kwa darasa, sikujua juu ya Bombo!Kuna maneno mengi yaliyotoholewa kutoka lugha nyingine na kuwa ya Kiswahili, machache ninayoyakumbuka ni boma, waswahili tukaita bomani.
Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa kiingereza katika maeneo waliokuwa wanayatawala "British Overseas Military Administration" kifupi BOMA.
Eneo liliko Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tanga wakati wa ukoloni kulikuwa na ghala la silaha yakiwemo mabomu, wenyewe wakaita "Bomb Area", waswahili wakaita Bombo Eria.
Carrier Cop waswahili wakaita Kariakoo.
Ongeza mengine.
Nini maana yake, keep on zero?Keep on zero wakaita kiponzero
What's the difference with the first narratives? Same thing to me!... you are wrong; absolutely wrong!
BOMA = British Overseas Management Authority; almost equivalent to District Commissioner (DC) today. And that's why today it is not very uncommon to hear people saying "naenda bomani" meaning they are going to DC's office or some other offices around those compounds.
Magu fool ikawa MagufuliKuna maneno mengi yaliyotoholewa kutoka lugha nyingine na kuwa ya Kiswahili, machache ninayoyakumbuka ni boma, waswahili tukaita bomani.
Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa kiingereza katika maeneo waliokuwa wanayatawala "British Overseas Military Administration" kifupi BOMA.
Eneo liliko Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tanga wakati wa ukoloni kulikuwa na ghala la silaha yakiwemo mabomu, wenyewe wakaita "Bomb Area", waswahili wakaita Bombo Eria.
Carrier Cop waswahili wakaita Kariakoo.
Ongeza mengine.
Asante mkuu haina shidaShukurani kwa darasa, sikujua juu ya Bombo!
Kuna maneno mengi yaliyotoholewa kutoka lugha nyingine na kuwa ya Kiswahili, machache ninayoyakumbuka ni boma, waswahili tukaita bomani.
Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa kiingereza katika maeneo waliokuwa wanayatawala "British Overseas Military Administration" kifupi BOMA.
Eneo liliko Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tanga wakati wa ukoloni kulikuwa na ghala la silaha yakiwemo mabomu, wenyewe wakaita "Bomb Area", waswahili wakaita Bombo Eria.
Carrier Cop waswahili wakaita Kariakoo.
Ongeza mengine.
Nimegoogle nikakuta kuwa... you are wrong; absolutely wrong!
BOMA = British Overseas Management Authority; almost equivalent to District Commissioner (DC) today. And that's why today it is not very uncommon to hear people saying "naenda bomani" meaning they are going to DC's office or some other offices around those compounds.
... shukran Mkuu. Umenyoosha maelezo.Nimegoogle nikakuta kuwa
BOMA stands for British Overseas Management Administration
Makao makuu ya wilaya ndiyo yalikuwa yakiikwa BOMA lakini waswahili tukageuza kuwa BOMANI; Je familia ya akina Paul Bomani walilitoa wapi?
Najua Kenya bado wana BOMAS