Waambie wenzetu wasibubujikwe na povu lote. Sijui mchina akija watasema nini.Halafu baada ya huyu Mchina pia, yaani wajue Kenya ndio kitovu cha Afrika, sio EAC tu.
Mtu akija kwake anaulizwa swali!!!!!! Waingereza Wanamiliki Kenya Mpaka Kesho. Wachina wameingiza mkenge mnasifia ujinga. USA mnapigina vita yao na Alshabab. ACHENI SIFA ZA KIJINGAHalafu baada ya huyu Mchina pia, yaani wajue Kenya ndio kitovu cha Afrika, sio EAC tu.
Mtu akija kwake anaulizwa swali!!!!!! Waingereza Wanamiliki Kenya Mpaka Kesho. Wachina wameingiza mkenge mnasifia ujinga. USA mnapigina vita yao na Alshabab. ACHENI SIFA ZA KIJINGA
Sijasikia majibu ya hoja ya Malema, na wala sijasikia majibu ya mlalamiko ya waganda.Waje wote yaani ni dhahiri Kenya ndio yenye ushawishi mkubwa kote. Nyie uwoga uwoga mumeshindwa kutoka nje kazi yenu kuliwa makinikia na kupokonywa ndege na michezo ya kuigiza ya makontena ya Bashite.
Ahh wapi sisi na macomunist. Angalia mataifa yote yaliofuata upumbavu huo, yako chali !!.Welldone Kenya,hopefull Tanzania we going to learn something here.
Sijasikia majibu ya hoja ya Malema, na wala sijasikia majibu ya mlalamiko ya waganda.
Haujatoa majibu kuhusu ulichosema Malema, nimeona umejaza tuhuma tu hapa kitu ambacho ni sisi tunaweza kukosema kwa kilichomkuta ndugu yetu mpendwa Msando. Kifupi Kenya bado mmejaa ukibaraka wa wazungu, hilo limewashida kuacha. Wakati nchi zingine zinapigana kuwang'oa wazungu, Kenya mlikuwa mnakula meza moja na wazungu. So huwezi kija hapa kusema nyinyi ni baba yao wakati mnajua marafiki zenu wanapunguwa kwenye ukanda huu.Malema anawachinja Waafrika wenzake Afrika Kusini kwa chuki kama zile zenu za xenophobic, hivyo hana hoja yoyote ambayo anaweza kuweka tumsklize.
Waganda tutawasaidia kupata demokrasia ya kweli, tuna undugu wa karibu sana nao ndio maana yakiwatokea tunaichukulia kama imetutendekea, sisi ni muhimu ukanda huu na ndio uliona mlipompiga Tundu Lissu risasi 38 akakimbilia Kenya baba na mama wa ukanda wote wa Afrika Mashariki na Kati.
Haujatoa majibu kuhusu ulichosema Malema, nimeona umejaza tuhuma tu hapa kitu ambacho ni sisi tunaweza kukosema kwa kilichomkuta ndugu yetu mpendwa Msando. Kifupi Kenya bado mmejaa ukibaraka wa wazungu, hilo limewashida kuacha. Wakati nchi zingine zinapigana kuwang'oa wazungu, Kenya mlikuwa mnakula meza moja na wazungu. So huwezi kija hapa kusema nyinyi ni baba yao wakati mnajua marafiki zenu wanapunguwa kwenye ukanda huu.
Unamesema Malema mbaguzi mbona na wewe unajipanga kibaguzi hapa? ukisema hamjali mtu ila pesa, inamaa asie na pesa au biashara kwemu hana tija. Mnawakati mgumu kueleweka hapa Afrika, na msilalamike mkiona Waganda wanawaacha na kukimbilia kwingine.Nimekuambia sina haja ya kumjibu Malema maana mwisho wa siku yeye ni mnafiki na mbaguzi hata dhidi ya Waafrika wenzake, hivyo hana hadhi ya kuhoji yeyote. Hao Wasouth ambao kiherehere chenu kiliwapeleka mkawatete ndio leo wanaua hata Watanzania.
Sisi yetu moja, piga biashara, hatujali iwe Mwafrika au Mmarekani.
Hatupo kwenye biashara ya kutafuta kupendwa au kuuza sura, ukanda wote huu sisi ndio tunaongoza kwa uwekezaji, yote hiyo ni kwa sababu hatuna muda wa kutafuta kupendwa.
Si bora makoteina ya Bashite mtakufa na sukar ya sumu hamuhitaji viti wala sofaWaje wote yaani ni dhahiri Kenya ndio yenye ushawishi mkubwa kote. Nyie uwoga uwoga mumeshindwa kutoka nje kazi yenu kuliwa makinikia na kupokonywa ndege na michezo ya kuigiza ya makontena ya Bashite.
Unamesema Malema mbaguzi mbona na wewe unajipanga kibaguzi hapa? ukisema hamjali mtu ila pesa, inamaa asie na pesa au biashara kwemu hana tija. Mnawakati mgumu kueleweka hapa Afrika, na msilalamike mkiona Waganda wanawaacha na kukimbilia kwingine.
Si bora makoteina ya Bashite mtakufa na sukar ya sumu hamuhitaji viti wala sofa