Matokeo ya mtihani wa kidato cha pili yaliyotolewa na NECTA jumamosi iliyopita yamedhihirisha BRN imeshindwa kuleta matokeo mazuri kwa shule nyingi. Tuzitaje shule hizo wanasiasa wajue BRN si chochote zaidi ya wimbo kama kilimo kwanza.
Naanza kuzitaja
Engutoto sec. School iliyopo Monduli mjini wanafunzi 48/166 wamefeli.
Endelea kutaja zingine