mwakifamba
Member
- Sep 7, 2014
- 48
- 15
WW na broo wako ni madomo zege, nilipeni hela kidogo niwafundishe kutongoza
Habari wanandugu,
Nina bro wangu anatafuta girlfriend
Amejiajiri na umri wake ni miaka 36. Ni mkristo. Naandika ili iwasaidie wale wanaopendelea watu wa upande wao lakini yeye habagui dini.
Kama kuna msichana aliye serious aniPM niwaunganishe.
Kwanini usimpe utamu tu uyo bro wako mkui
mwakifamba, Haya maandishi ukiyasoma kwa jicho lililo changamka, utagundua kwamba mleta mada ndie mwenye uhitaji.
Anyway, minaomba nikutakie kila la kheri mkuu
umetumia mbinu zakizamani sana, unamtaja bro ili ujinufaishe??
Tobaaa, mlevi weweeMristo ni mtu gani
Mlemavu mwenye korodani moja ?
Nini tena financial services [emoji3]Tobaaa, mlevi wewee
Nimesikia kitu kama testicle 1 duh,umewaza nini[emoji3] [emoji3]Nini tena financial services [emoji3]