Bro wangu kamegewa wife wake na house boy

Bro wangu kamegewa wife wake na house boy

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
Wadau nimepata taarifa hivi punde kutoka kwa bro. ameniambia house boy kammegea wife wake.

Kama haitoshi kampa na ujauzito kabisa huku sisi tukiwa na imani na matumaini kuwa bro kafanya kazi nzito na nzuri kumbe house boy ndo aliye mpa. Wife wa bro amekiri kosa na amekubali kuwa ni kweli ujauzito na wa huyo house boy.

Bro yupo njia panda anashindwa afanyeje!
 
hehehe!
mpwaaz bana ISIJE IKAWA NI BIA ZA MARANGU JANA
 
Wife wa bro amekiri kosa na amekubali kuwa ni kweli ujauzito na wa huyo house boy.

Bro yupo njia panda anashindwa afanyeje!

...kosa? hapana, ishakuwa kawaida yao.
 
mkuu hiyo kali,bro wako hana haja ya kuomba ushauri ni aibu ilikuwaje?au nayeye ni mtu wa masanga km wewe?kajisahau vipi mpaka houseboy kafanya mambo?hapo hamna jinsi ni kupaki mizigo ya wife na houseboy kisha unawatimua wakaanze maisha mapya km mke na mume basi.
 
Joking?
Aisee, mbona unatamka maneno mazito hivi juu ya kakako?
Na kakako alimuoa kwa ndoa huyu mwanamke au ni demu tu anayekuja na kuondoka?
Weka sawa hii maneno, maana bado ina utata!
 
hehehe!
mpwaaz bana ISIJE IKAWA NI BIA ZA MARANGU JANA

Mpwa ni kweli mzee R kamegewa wife wake na mfanyakazi yeye anapo kuja Dar hausiboy anakuwa kidume home wamecheza kamchezo mpaka shemeji mjamzito anasubili siku chache tu ajifungue mtoto .
 
Joking?
Aisee, mbona unatamka maneno mazito hivi juu ya kakako?
Na kakako alimuoa kwa ndoa huyu mwanamke au ni demu tu anayekuja na kuondoka?
Weka sawa hii maneno, maana bado ina utata!

Mkuu PJ hii ishu ni kweli imetokea na ni bro wangu kweli anafanya biashara.
Ni mke wake wa ndoa kabisaaa na amesha mzalia mtoto 1 hii mimba ni atakuwa mtoto wa 2. Sasa ni wa huyo house boy.
 

ngoja nikapige lunch

JF bana, hiyo kitu ndo starter au main coz na wewe mpwaz??

Jmani huyo my wife wa kaka mbona hivo? yaani mpaka mimba?
Fide huyo kaka hebu ajichunguze vizuri sio bure wallah!!! duh!!
 
Basi tena house boy kesha mzidi ujanja... Solution mshauri bro amwozeshe my waifu kwa house boy...Hee hee hee.
 
...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!
 
mkuu hiyo kali,bro wako hana haja ya kuomba ushauri ni aibu ilikuwaje?au nayeye ni mtu wa masanga km wewe?kajisahau vipi mpaka houseboy kafanya mambo?hapo hamna jinsi ni kupaki mizigo ya wife na houseboy kisha unawatimua wakaanze maisha mapya km mke na mume basi.

Yaani ni aibu mpaka inapitiliza.
Yeye ni mfanyabiashara huwa anasafiri toka mkoa kuja Dar sasa akisafiri nyuma shem anajivinjari na hausi boi ananiambia shem amethibitisha kuwa hata ujauzito ni wa huyo dogo. Sasa hapo sijui afanyaje kama kumegewa amesha megewa na mimba juu dah inauma sana.
 
Inaonekana kaka yako hamrizishi shemejio au anatembea nje na ndoa itakuwaje mpaka wife wake atembee na house boy? au huyo mwanamke muda wote anawaza ngono na kutamani mshipa uwe ndani muda wote
 
...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!

Yaani mpaka mtoto azaliwe?? biggy masihara hayo
akazalie kwa tu mengine yatajiseti baada ya hapo!!
 

Hivi ndo mkao gan huu tena?....nanihii ameona iko sawa?...hizi si ni sehemu za siri!!!😕
 
...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!

hahahaaa mkuu taratibu, na husband naye aki...house girl au external ...naye KWAO sio?
kaka avumilie tu wakutimuliwa hapo ni house boy, then waanze moja na mkewe, pia bro aangalie alikosea wapi pengine anahitaji kwenda kwa Dr manyuki.
 
Kiongozi hii haijakaa sawa dah!! kwanza mpe kaka yako pole sana!! asee na huyo kaka yako lazima tu atakua amechangia kwa hili maana inawezekana na yeye akiondoka kwenda kwenye biashara zake huko mikoani siku akirudi home hatekelezi vizuri kazi yake may be na yeye huko anakua anapata totoz so akirudi hamu na mkewe hana! So hii ishu inakua ngumu kwa sababu mkewe ana mimba, na hivyo kulea mimba ya houseboy tena? itabidi jamaa aite kikao cha familia zote na atoe uamuzi wake!
 
Back
Top Bottom