Wife wa bro amekiri kosa na amekubali kuwa ni kweli ujauzito na wa huyo house boy.
Bro yupo njia panda anashindwa afanyeje!
Ausikilize tu moyo wake unamwambia niniBro yupo njia panda anashindwa afanyaje!
hehehe!
mpwaaz bana ISIJE IKAWA NI BIA ZA MARANGU JANA
Joking?
Aisee, mbona unatamka maneno mazito hivi juu ya kakako?
Na kakako alimuoa kwa ndoa huyu mwanamke au ni demu tu anayekuja na kuondoka?
Weka sawa hii maneno, maana bado ina utata!
mkuu hiyo kali,bro wako hana haja ya kuomba ushauri ni aibu ilikuwaje?au nayeye ni mtu wa masanga km wewe?kajisahau vipi mpaka houseboy kafanya mambo?hapo hamna jinsi ni kupaki mizigo ya wife na houseboy kisha unawatimua wakaanze maisha mapya km mke na mume basi.
...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!
...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!