huo ni msala full chali yangu
Basi tena house boy kesha mzidi ujanja... Solution mshauri bro amwozeshe my waifu kwa house boy...Hee hee hee.
...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!
ushahidi gani tena bingwa mwanamke kashasema mimba ya houseboy?...huyo mke hamfai kakako!
Subirini mtoto azaliwe, ili mpate ushahidi dhahiri, then...KWAO!
ushahidi gani tena bingwa mwanamke kashasema mimba ya houseboy?
nimejiuliza sana...hapo alikuwa anaruka kamba, anacheza ngoma au alikuwa anafanya nini?
anyway kama mnampenda kaka yenu huu ndio muda wa kuwa naye karibu maana anawezaku commit mudder muda wowote kuanzia sasaFidel80;878034]Dah yaani inasikitisha sana huyu shem alivyo kuwa ananisisitizia mm nioe dah nachoka kabisa.
uoe au usioe?
mwanamke kashakiri?kwangu mimi hapo hamna ushahidi zaidi ni kwa heri.Ushahidi wa maneno broda huo, tunataka ushahidi SUBSTANCIAL usioacha shaka... huenda huyu mama alishinikizwa akubali??....hujakutana na incidence za hivyo huko polisi?
SAMAHANI. Kama bro wako bahati mbaya hajiwezi,angekuarifu kuwa,bwana mdogo mimi mambo si mazuri(jogoo haliwiki??.........nilitegemea bro wako aseme, 'huku mimi nimepiga mtu sana niko polisi njoo niwekee dhamana' au shemeji yako nimemfukuza,kisa kalambwa na house boy. Inawezekana wanajuana hawa.........mahousegirl wotehawa wamejaa uajiri housegirl tena kidume cha mbegu ulitegemeanini? Ongea vizuri na shemeji yako si ajabu ukasikia ' kaka yako mwenyewe mwenyewe.................'.Wadau nimepata taarifa hivi punde kutoka kwa bro. ameniambia house boy kammegea wife wake
kama haitoshi kampa na ujauzito kabisa huku sisi tukiwa na imani na matumaini kuwa bro kafanya kazi nzito na nzuri kumbe house boy ndo aliye mpa. Wife wa bro amekiri kosa na amekubali kuwa ni kweli ujauzito na wa huyo house boy.
Bro yupo njia panda anashindwa afanyaje!
Mkuu PJ hii ishu ni kweli imetokea na ni bro wangu kweli anafanya biashara.
Ni mke wake wa ndoa kabisaaa na amesha mzalia mtoto 1 hii mimba ni atakuwa mtoto wa 2. Sasa ni wa huyo house boy.
Mkuu PJ hii ishu ni kweli imetokea na ni bro wangu kweli anafanya biashara.
Ni mke wake wa ndoa kabisaaa na amesha mzalia mtoto 1 hii mimba ni atakuwa mtoto wa 2. Sasa ni wa huyo house boy.
Mkuu PJ hii ishu ni kweli imetokea na ni bro wangu kweli anafanya biashara.
Ni mke wake wa ndoa kabisaaa na amesha mzalia mtoto 1 hii mimba ni atakuwa mtoto wa 2. Sasa ni wa huyo house boy.
nilishauliza sijajibiwa.
Apime DNA na huyo mtoto wa kwanza. Inawezakana naye ni wa houseboy! Inawezekana kaka 'hawamo' halafu wife akatumia mbinu za kivita.