Bro wangu kanichosha sana, nampiga chini leo leo! Nimechoka!

kaka wa namna hiyo ukifumba macho anakomba kila kitu wanao hawataambulia hata ndururu...
 
Huo ni msalaba wako ubebe tu usitafute lawama!
 
Kaka Mistari imetulia mno!!!
Mi nakuhakikishia kama tukiingia studio ukampata mtu akakuingizia korasi mbona utatoka tu mwana!!!!
 
Kaka inabidi uwe na maneno machache sana. NAOMBA UENDE UKATAFUTE SEHEMU NYINGINE YA KUKAA, NITAKUSAIDIA UKIWA HUKO.
Hili limeshanitokea ila ni kwa dogo alikuwa kila nikirudi home namkuta na demu home vinywaji vyote kwenye friji wamefuta na anasema ananilea mimi, nilifanya maamuzi magumu na kumtimua. Kuanzia hapo nawasaidia huko huko waliko sitaki wafike kwangu bila ya mimi kuwaita. Heri lawama kuliko fedheha bro. Wewe ni mtoto wa Kiume
 

Duh, mkuu pole sana asee, Yule demu kakumwaga bado kaka mtu naye analeta zakuleta hapa.. Mpe onyo la mwisho.
 
Kama una ushauri mbadala, please nipatie, vinginevyo kanichosha! Nampiga chini!

Kaeni ndugu wote kwa pamoja, shaurianeni, mtafutieni chumba chake, mlipie, ndugu wote mchange mmpe mtaji akiharibu tena baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaasi! Wewe utakuwa umenawa mikono na huyo mwanamke utajua ukweli kwamba wewe ndo baba mwenye nyumba.
 
pole sana aise....kwakweli me naona bora 2 ubakia mwenyewe uishi kwa amani......ama ongea nae na ujaribu kumpa ushauri juu ya maisha japo ameshakua ivo...
 
Pole sana ndugu. kama una uwezo mtafuties mtaji wa biashara kisha mpangishie chumba miezi sita uachane nae klwa amani tu.
 
Pole sana bro hali hiyo. Mimi nafikiri hayo maneno ya shemeji zako yasikusumbue kabisa coz huyo ni ndugu yako tena wa damu so maneno ya mashemeji yasikuumize kichwa. Kwa kuwa ni ndugu yako wakati mwingine unatakiwa kuibeba aibu yake huo ndo udugu.... si unaona umepata mashemeji kwa kupitia vitu vyako wasichana wanamwona brother wako wa maana kwa ajili ya vitu vyako!!!!! Jambo la kufanya ni kumshauri kuhusu kupunguza au kuachana kabisa anasa (ulevi na wanawake) ili awe na uwezo. Pia kama una nafasi jaribu kumtafutia sehemu nyingine za kazi. Usimfungulie miradi kwa sasa kwani utajikuta unapoteza hela bure ila akipata kazi akaweza kuifanya vizuri baada ya kutulia unaweza kumfungulia kamradi akafanya
Endelea kumsaidia kwani huyo ni nduguyo. vitu kama ni vyako basi ni vyako tu maneno hayawezi kubadili umiliki wa vitu hivo.
Thanks
 
Actually umechelewa kumfukuza, mpangie room weka kitanda mtoe, we Ndo umemwaribu, kwa nini alipopata kazi ukaendelea mlea? Mtafutie mahali Ndo umeondoe, akishindwa lipa achana Naye.



 

Umeongea sana kaka.......not only that but also dunia hii mungu kaweka watu wa kuwaokoa wengine kama hapa kwenye case ya HP...ni mtihani mgumu sana huu ila ajue kwamba ni wake na ni lazima aufaulu..

HP - Watakukatisha watu tamaa kwa majibu ya hovyo lakini be a man and take a leading role.....watu wa aina ya kaka yako huwa wanapewa majukumu na si mamlaka sababu hawakupewa uwezo wa kufikiria na kupanga miradi ilikufa kwa sababu hii . Get another one na yeye awe mmoja wa watendaji but decisions should rest with you...a company mode

Always muombe muumba akusaidie huku ukimshukuru kwa mtihani huu. Namfahamu mzee mmoja ana watoto wake wa kuwazaa watatu wote wana mtindio wa ubongo!!!! Can you imagine na bado anawahudumia kwa moyo mmoja na halalamiki hadharani?????
 

Umeongea sana kaka.......not only that but also dunia hii mungu kaweka watu wa kuwaokoa wengine kama hapa kwenye case ya HP...ni mtihani mgumu sana huu ila ajue kwamba ni wake na ni lazima aufaulu..

HP - Watakukatisha watu tamaa kwa majibu ya hovyo lakini be a man and take a leading role.....watu wa aina ya kaka yako huwa wanapewa majukumu na si mamlaka sababu hawakupewa uwezo wa kufikiria na kupanga miradi ilikufa kwa sababu hii . Get another one na yeye awe mmoja wa watendaji but decisions should rest with you...a company mode

Always muombe muumba akusaidie huku ukimshukuru kwa mtihani huu. Namfahamu mzee mmoja ana watoto wake wa kuwazaa watatu wote wana mtindio wa ubongo!!!! Can you imagine na bado anawahudumia kwa moyo mmoja na halalamiki hadharani?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…