Broken heart

sjawahi kusmamia kesi ya mtu halaf akakosa mchumba. anzisheni sred ya michango tu, hapa nitafanya makeke broken heart ataondoka na toto "paja mtelezo, hipsi la picha". halaf wewe hauruhusiwi kutuma CV yako kwa broken heart. sawa?
nakushukuru sana kwa kunipa sapoti
naumia tu pale watu wanapochukulia masihara
 
nashukuru kwa angalizo ila mie nitabaki humu humu kwa alie siriaz thn naomba tuwasiliane
wapendwa im not joking here.


 
brokenhati vyeti vya shule vinahitajika?au nitume tu pm?
 
Then ondoa wazo la kupata mke JF,anza kuangalia kwa majirani huko au mtaani kwenu kama ilikua ngumu kupata chuoni
watu wanapata wachumba youtube, itakuwa JF bana? , acha kumbreak heart, broken heart bana!, kuna rais wa nchi gani sjui mke wake alimpata kwenye website la kucheki ngono (source: nimesahau).
 
hahaha,,,usisahau maandamano kwa uadvoketi,,,nipigie pande basi kwa brokenhati kloro,,mia
tumsubilie alejee hewani, yuko kwenye umeme wa mgao. akilejea tunafunga sredi. lakini nitahitaji rushwa.
 
tumsubilie alejee hewani, yuko kwenye umeme wa mgao. akilejea tunafunga sredi. lakini nitahitaji rushwa.

uuuwi!kloro utahitaji rushwa tena damn u!ila najua hatushindwani,,iskute brokenhati ndo yule mtu wetu daun zea?umeme wa mgao tena!
 
Mi nimeishia form four ila vigezo vingine vyote nnavyo!!Nitume maombi?
 
uuuwi!kloro utahitaji rushwa tena damn u!ila najua hatushindwani,,iskute brokenhati ndo yule mtu wetu daun zea?umeme wa mgao tena!
sio ka rushwa ka feza usishtuke, ni ka rushwa ambako hata wewe utakapendelea (kwa kisayansi wanaita "magnetic bribe"), halaf hapo red acha nifanye mautundu yangu ya maikrosoft word kuprove. stay tuned
 
Mi nimeishia form four ila vigezo vingine vyote nnavyo!!Nitume maombi?
hamtakiwi kukabiliana na muhusika dairekt. maombi yote yapitie kwa klorokwini. mimi ni independent lawayer wa hii sred.
 
sio ka rushwa ka feza usishtuke, ni ka rushwa ambako hata wewe utakapendelea (kwa kisayansi wanaita "magnetic bribe"), halaf hapo red acha nifanye mautundu yangu ya maikrosoft word kuprove. stay tuned

hako kabribe ntatoa ili mradi nimponye moyo,,huyu lizzy ataniwekea kauzibe sasa akituma appl zichane plz
 
hamtakiwi kukabiliana na muhusika dairekt. maombi yote yapitie kwa klorokwini. mimi ni independent lawayer wa hii sred.

Sasa mbona hujajibu swali????:tape:Ngoja nilale mie!!:bored:
 
hako kabribe ntatoa ili mradi nimponye moyo,,huyu lizzy ataniwekea kauzibe sasa akituma appl zichane plz

Heheheh WiseLady hujiamini mamaa????
Kma utakubali mbele ya Kloro kwamba appl zetu zikifika pamoja naweza nikakushinda ntakuachia nisubirie bahati nyingine!!!:hug:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…