nakushukuru sana kwa kunipa sapotisjawahi kusmamia kesi ya mtu halaf akakosa mchumba. anzisheni sred ya michango tu, hapa nitafanya makeke broken heart ataondoka na toto "paja mtelezo, hipsi la picha". halaf wewe hauruhusiwi kutuma CV yako kwa broken heart. sawa?
Nakushauri uende vyuo vikuu viko vingi sasa hivi, weka schedule ya kwenda pale getini unasubiri watoke darasani uangalie wa kukufaa. sisi humu ndani naona kama hatufit na hizo mbwembwe zako za wasomi wenzio. Watch out mpendwa kama ndiyo msimamo wako kwenye kutafuta mchumba nakushauri ubadilishe style kwa sababu utaanguka kwenye kisiki cha mpingo na kujuta juu.
Unless unatania! samahani kama nimekuudhi mimi ni binadamu tu.
im damn serious
watu wanapata wachumba youtube, itakuwa JF bana? , acha kumbreak heart, broken heart bana!, kuna rais wa nchi gani sjui mke wake alimpata kwenye website la kucheki ngono (source: nimesahau).Then ondoa wazo la kupata mke JF,anza kuangalia kwa majirani huko au mtaani kwenu kama ilikua ngumu kupata chuoni
wee tuma tu lakini mimi ndio advocate kwahiyo usisahau kuweka carry off klorokwini. miabrokenhati vyeti vya shule vinahitajika?au nitume tu pm?
wee tuma tu lakini mimi ndio advocate kwahiyo usisahau kuweka carry off klorokwini. mia
tumsubilie alejee hewani, yuko kwenye umeme wa mgao. akilejea tunafunga sredi. lakini nitahitaji rushwa.hahaha,,,usisahau maandamano kwa uadvoketi,,,nipigie pande basi kwa brokenhati kloro,,mia
tumsubilie alejee hewani, yuko kwenye umeme wa mgao. akilejea tunafunga sredi. lakini nitahitaji rushwa.
sio ka rushwa ka feza usishtuke, ni ka rushwa ambako hata wewe utakapendelea (kwa kisayansi wanaita "magnetic bribe"), halaf hapo red acha nifanye mautundu yangu ya maikrosoft word kuprove. stay tuneduuuwi!kloro utahitaji rushwa tena damn u!ila najua hatushindwani,,iskute brokenhati ndo yule mtu wetu daun zea?umeme wa mgao tena!
hamtakiwi kukabiliana na muhusika dairekt. maombi yote yapitie kwa klorokwini. mimi ni independent lawayer wa hii sred.Mi nimeishia form four ila vigezo vingine vyote nnavyo!!Nitume maombi?
sio ka rushwa ka feza usishtuke, ni ka rushwa ambako hata wewe utakapendelea (kwa kisayansi wanaita "magnetic bribe"), halaf hapo red acha nifanye mautundu yangu ya maikrosoft word kuprove. stay tuned
hamtakiwi kukabiliana na muhusika dairekt. maombi yote yapitie kwa klorokwini. mimi ni independent lawayer wa hii sred.
naomba uniote nakuPMSasa mbona hujajibu swali????:tape:Ngoja nilale mie!!:bored:
hako kabribe ntatoa ili mradi nimponye moyo,,huyu lizzy ataniwekea kauzibe sasa akituma appl zichane plz
huyo lizzy anaolewa na ex wa dadaake nekst month. askushtue sana.hako kabribe ntatoa ili mradi nimponye moyo,,huyu lizzy ataniwekea kauzibe sasa akituma appl zichane plz
naomba uniote nakuPM
Ina maana hwajajitokeza tu.mbona hizi comments zanipa kizunguzungu badala ya suluhisho?
:disapointed::disapointed: