klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Ndugu zangu wanaJF,mie ni kijana wa kiume na ninatafuta msichana alie tayari kuwa nami kwenye mahusiano.
mie ni graduate na natafuta mwenye elimu kama yangu.
awe na kipato cha kujitosheleza.
awe mzuri kwa sura na tabia kwani nami nina wajihi mzuri sana na tabia njema pia.
akiwa na mtoto sio mbaya ili mradi awe single.
so,kama kuna mdada anaetafuta mwenza naomba ani pm tafadhali.
nb.
urembo na tabia njema ni vigezo vya msingi hayo mengine kuna uwezekano wa kulegeza msimamo.
hapa itakuwa kuna mod anammind lizzy, yaani ile kulembea kamstari kamoja tu kwa lizzy, network imekatika hafla. nimeandika hii post nikiwa na hasira kweli aisee. mnaombwa warembo mnitulize kabla sijaluz temper zaidi
hehehehe. miamia mia!
afazali, dah! walinikera sana, yaani wananipoteza hewani wakati bili nalipa kwa wakati bana! kale ka bluetooth student tayari oficially ni ka lizzy (akikubali au akikataa hii ni lazima), kwanza cpu yenyewe imefilisika , juzi niligongana nayo kariakoo inauza nyanya. khaaa!c'mmon kloro bado tunahitaji dawa tunaomba usiluz tempa,,sawa eee?tunaomba unkabidhi lizzy kale kamzigo ka hus kwani wamefikia makubaliano,,,mia
. mnaombwa warembo mnitulize kabla sijaluz temper zaidi
Husninyounahitaji kutulizwa kiimani. Tangulia jukwaa la dini nakuja.
waooh!
Liz ndio atakuwa mai waif wa yule handsm boi eeh.
Sijui atamuweza yule sharobaro.
mimi nakalea lea tu. Naomba nikukabidhi kale kamzigo bureee.
Yaani fri of chaji kuonesha msisitizo.
hapa itakuwa kuna mod anammind lizzy, yaani ile kulembea kamstari kamoja tu kwa lizzy, network imekatika hafla. nimeandika hii post nikiwa na hasira kweli aisee. mnaombwa warembo mnitulize kabla sijaluz temper zaidi
Kha?Kwahiyo utanilazimishaje?Unanifunga kamba?Alafu mi kwa Sipiyu sikufuata pesa!afazali, dah! walinikera sana, yaani wananipoteza hewani wakati bili nalipa kwa wakati bana! kale ka bluetooth student tayari oficially ni ka lizzy (akikubali au akikataa hii ni lazima), kwanza cpu yenyewe imefilisika , juzi niligongana nayo kariakoo inauza nyanya. khaaa!
Vuta subira, watajitokeza!hata mmoja kwani wanadhani natania hapa.
kama ulifuatilia maelezo yangu nilisema uzuri wa kitu upo machoni pa mtazamaji na kama waona nimekosea ungeweza potezea tu au kushauri kwa lugha ya staha na sio kusema pumba.Chacha uzuri wa sura una u-qualify vipi? Pumba! Kila binadamu anajiona ni mzuri labda kama hukulelewa kwa maadili. Awe na mtoto lakini awe single!?
Chuo kikuu gani ulimaliza na una shahada gani wewe?
Husninyo
Hahahaha huyo unaemtoa bure..kweli ni mzigo!
kama nilivyosema misimamo mingine inaweza legezwa tu.
vigezo sio msahafu