Brother huna shida ya nguvu za kiume. Acha punyeto pamoja na kuanglia Picha na Video za ngono

Wengi wanashindwa,ukitaka ujue watu wanateseka ingia kule Reddit kwenye NOFAP subreddit.
Nlikua kama hao ila siku ambayo nliamua kuacha sikurudi nyuma kuna madhara nlianza kupata nikafikiria future yangu,nikioa itakuaje, nlikua kwenye mahusiano na mtoto mzuri ana kila kitu ambacho mwanaume kamili anaweza vutiwa performance yangu ikaanza kupugua niajiapiza kuanzia leo sitafaya tena" nliteseka almost two months baadae nikasahau
 
Hongera sana
 
Hakuna mwanaume asiye na nguvu za kiume. The rest is depression and stress
 
Hatimaye dronedrake na genge lake wampitia mtoa mada kama upepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha.......analeta uongo wa kijinga[emoji4]
 
Uyo namwambia tupewe mwanamke na stopwatch afu tuone kuacha porn na punyeto kumemsaidia nini
Hii ishu watu wanaichukulia kimihemko sana. Ni ishu pana na mzizi mkubwa ni saikolojia tu. Huyo ndo mchawi. Wajinga ni wengi watu wanataka kupiga ela.

Anaweza asimalize hata 2min ukimuwekea stopwatch huyo jamaa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kmmk
 
Hii ishu watu wanaichukulia kimihemko sana. Ni ishu pana na mzizi mkubwa ni saikolojia tu. Huyo ndo mchawi. Wajinga ni wengi watu wanataka kupiga ela.

Anaweza asimalize hata 2min ukimuwekea stopwatch huyo jamaa
Anaongea kwa mihemko,
Wacheza porn wote duniani upiga punyeto na huweza kulast for hours Kwny sex
 
Mchawi wa mtu ni sailolojia yake mwenyewe
 
Kabisa aisee. Kuna mwamba humu anasema kaoa na anapiga ni mwaka wa 20 sasa na show anakamua[emoji23][emoji23]
Nb. Na ana watoto
Wengi TU waliiooa wanapiga,
Punyeto hata usipopiga utapigishwa TU kwa mfumo wa blowjob na wazungu watatoka Kama kawaida[emoji4]
 
Anaongea kwa mihemko,
Wacheza porn wote duniani upiga punyeto na huweza kulast for hours Kwny sex
Porn actors wana viagra kumbuka.

Pamoja na yote masturbation haisababishi nguvu zipungue.

Hili nitalikataa mpaka kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…