Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Sekta ya usafiri hasa wa abiria jijini Dar ilielekea kupata ufumbuzi baada ya Serikali kuwekeza kwenye mradi wa mabasi yaendayo kasi almaarufu Mwendokasi.
Kinachoendelea baada ya hapo ni kwa wasimamizi wa mradi huo kuuendesha kama kampuni za Kipemba. Yaani wanafanyabiashara wanapojisikia.
Ahsubuhi ni muda wa wasafiri kuwahi kwenye shughuli za kujenga uchumi lakini unaweza kukuta nuda huo gari zao nyingi zimepaki vituo vya fery, kariakoo na kimara hayapakii bali wameweka tangazo out of service, na unayakuta mengine barabarani hayajabeba abiria yanakimbizwa kasi kutoka kimara hadi Kariakoo au fery yakiwa out of service.
Unaweza kukata tiketi ukasubiri gari kituoni hata saa nzima.
Watendaji wengi wa serikali huwa hawana uchungu na mali ya umma hasa kweye hizi kampuni za umma. Ukiangalia Tanesco Dawasco, Ewura na kadhalika mwendo ni ule ule.
Ninaamini endapo miradi hii ikisimamiwa vizuri, Serikali isingefikia hatua ya kukamua ng'ombe dume atoe maziwa kwa mfumo wa Tozo la Miamala....
Kinachoendelea baada ya hapo ni kwa wasimamizi wa mradi huo kuuendesha kama kampuni za Kipemba. Yaani wanafanyabiashara wanapojisikia.
Ahsubuhi ni muda wa wasafiri kuwahi kwenye shughuli za kujenga uchumi lakini unaweza kukuta nuda huo gari zao nyingi zimepaki vituo vya fery, kariakoo na kimara hayapakii bali wameweka tangazo out of service, na unayakuta mengine barabarani hayajabeba abiria yanakimbizwa kasi kutoka kimara hadi Kariakoo au fery yakiwa out of service.
Unaweza kukata tiketi ukasubiri gari kituoni hata saa nzima.
Watendaji wengi wa serikali huwa hawana uchungu na mali ya umma hasa kweye hizi kampuni za umma. Ukiangalia Tanesco Dawasco, Ewura na kadhalika mwendo ni ule ule.
Ninaamini endapo miradi hii ikisimamiwa vizuri, Serikali isingefikia hatua ya kukamua ng'ombe dume atoe maziwa kwa mfumo wa Tozo la Miamala....